The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!


Hahahaaa,nimecheka sana aisee...
Ila hayo maelezo yako tuko pamoja,namie mawazo yangu yako hivyo hivyo!
Sasa tuanze kazi kimyakimya,tusubiri muendelezo tujue zaidi.
 

Ndiyo maana nikamuulizia maana simsikii kabisa.
 
Hahahaaa,nimecheka sana aisee...
Ila hayo maelezo yako tuko pamoja,namie mawazo yangu yako hivyo hivyo!
Sasa tuanze kazi kimyakimya,tusubiri muendelezo tujue zaidi.

Twende kazi..
 
Story ikiisha tuambie na huyo silent killer ni nani.
 
Ahahahahahahahahaha....
lara 1 ....am sure u know why am laughing! Hahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah


Ah!

[Yaani wewe Tyta, Asprin, nifah na Steph Curry mkimjua huyu mtu ni nani nitawapa chochote kilichopo ndani ya uwezo wangu ila nawaapia hamtamjua kabisaaaaa labda mmoja wa hao wadada ajikute anaropoka. Na mpaka sasa hakuna hata mmoja wao aliye-comment kitu (hint)....cha maana muangalie kwenye ile list ya who is reading this thread]
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahahahah keleuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 

Wewe tulia tu.Tukishindwa poa tu.
 
Last edited by a moderator:

Unajua mi nashindwa kuamini kama hii stori kweli? My name is piego... aka thomaso
Hebu niaminishe mkuu..
 
Last edited by a moderator:

Aisee Tyta Nifai na Steph mr Mentor amewadhalilisha sana na nimehuzunika sana kwa hilo kwa kweli.
 
Last edited by a moderator:

Arif yani mi nisimjue tena? Labda kama mimi si babu ODM.

Kwa taarifa yako tushakaa naye Leo tuko hapa Pub siku ileee... unakumbuka?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…