The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

Hapo kwenye red usifikiri jamaa kashamaliza mission yake LOL..

Mimi nishawapata kadhaa.. nitajiridhisha kadri story itakavyoendelea..

Hint: Exclude hao wote waliotajwa, Exclude member wote ambao join date ni 2014, 2015..

Then anza kudeal na 2011 na 2012 hapo ndio utawakuta wengi ambao ni maarufu humu.. Sasa katika hao wengi, watoe hao waliotajwa kwenye uzi. Ndio utawapata wachache ambao sasa ukisoma michango yao humu, utaweza kuwahisi.. That is the first step..

Hahahaaa,nimecheka sana aisee...
Ila hayo maelezo yako tuko pamoja,namie mawazo yangu yako hivyo hivyo!
Sasa tuanze kazi kimyakimya,tusubiri muendelezo tujue zaidi.
 
hahahaha Mpwa kazi ya lindo kashaacha anakomaa na wahindi.. Wasije wakamfilisi tu, na mimi narudi tena kule.
Shy land naona yuko kwenye palizi la pamba.. Alafu watu wanamu'underestimate sana huyu Shy land anaweza ndio akawa Silent Killer mwenyewe maana ana ID za kumwaga alafu zote zinaishia na Land

Ndiyo maana nikamuulizia maana simsikii kabisa.
 
Story ikiisha tuambie na huyo silent killer ni nani.
 
Ahahahahahahahahaha....
lara 1 ....am sure u know why am laughing! Hahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah


Ah!

[Yaani wewe Tyta, Asprin, nifah na Steph Curry mkimjua huyu mtu ni nani nitawapa chochote kilichopo ndani ya uwezo wangu ila nawaapia hamtamjua kabisaaaaa labda mmoja wa hao wadada ajikute anaropoka. Na mpaka sasa hakuna hata mmoja wao aliye-comment kitu (hint)....cha maana muangalie kwenye ile list ya who is reading this thread]
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahahahah keleuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Ahahahahahahahahaha....
lara 1 ....am sure u know why am laughing! Hahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah


Ah!

[Yaani wewe Tyta, Asprin, nifah na Steph Curry mkimjua huyu mtu ni nani nitawapa chochote kilichopo ndani ya uwezo wangu ila nawaapia hamtamjua kabisaaaaa labda mmoja wa hao wadada ajikute anaropoka. Na mpaka sasa hakuna hata mmoja wao aliye-comment kitu (hint)....cha maana muangalie kwenye ile list ya who is reading this thread]

Wewe tulia tu.Tukishindwa poa tu.
 
Last edited by a moderator:
Ahahahahahahahahaha....
lara 1 ....am sure u know why am laughing! Hahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah


Ah!

[Yaani wewe Tyta, Asprin, nifah na Steph Curry mkimjua huyu mtu ni nani nitawapa chochote kilichopo ndani ya uwezo wangu ila nawaapia hamtamjua kabisaaaaa labda mmoja wa hao wadada ajikute anaropoka. Na mpaka sasa hakuna hata mmoja wao aliye-comment kitu (hint)....cha maana muangalie kwenye ile list ya who is reading this thread]

Unajua mi nashindwa kuamini kama hii stori kweli? My name is piego... aka thomaso
Hebu niaminishe mkuu..
 
Last edited by a moderator:
Ahahahahahahahahaha....
lara 1 ....am sure u know why am laughing! Hahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah


Ah!

[Yaani wewe Tyta, Asprin, nifah na Steph Curry mkimjua huyu mtu ni nani nitawapa chochote kilichopo ndani ya uwezo wangu ila nawaapia hamtamjua kabisaaaaa labda mmoja wa hao wadada ajikute anaropoka. Na mpaka sasa hakuna hata mmoja wao aliye-comment kitu (hint)....cha maana muangalie kwenye ile list ya who is reading this thread]

Aisee Tyta Nifai na Steph mr Mentor amewadhalilisha sana na nimehuzunika sana kwa hilo kwa kweli.
 
Last edited by a moderator:
Weka picha......
express...
camera-smiley-emoticon.gif
 
Ahahahahahahahahaha....
lara 1 ....am sure u know why am laughing! Hahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah


Ah!

[Yaani wewe Tyta, Asprin, nifah na Steph Curry mkimjua huyu mtu ni nani nitawapa chochote kilichopo ndani ya uwezo wangu ila nawaapia hamtamjua kabisaaaaa labda mmoja wa hao wadada ajikute anaropoka. Na mpaka sasa hakuna hata mmoja wao aliye-comment kitu (hint)....cha maana muangalie kwenye ile list ya who is reading this thread]

Arif yani mi nisimjue tena? Labda kama mimi si babu ODM.

Kwa taarifa yako tushakaa naye Leo tuko hapa Pub siku ileee... unakumbuka?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom