Hujakosea aseee ulijuaje silent killer mie hahahahahaha cant wait agaaaaah
Ahahahahahahahahaha....
lara 1 ....am sure u know why am laughing! Hahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah
Ah!
[Yaani wewe Tyta, Asprin, nifah na Steph Curry mkimjua huyu mtu ni nani nitawapa chochote kilichopo ndani ya uwezo wangu ila nawaapia hamtamjua kabisaaaaa labda mmoja wa hao wadada ajikute anaropoka. Na mpaka sasa hakuna hata mmoja wao aliye-comment kitu (hint)....cha maana muangalie kwenye ile list ya who is reading this thread]
Unajua mi nashindwa kuamini kama hii stori kweli? My name is piego... aka thomaso
Hebu niaminishe mkuu..
Ahahahahahahahahaha....
lara 1 ....am sure u know why am laughing! Hahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah
Ah!
[Yaani wewe Tyta, Asprin, nifah na Steph Curry mkimjua huyu mtu ni nani nitawapa chochote kilichopo ndani ya uwezo wangu ila nawaapia hamtamjua kabisaaaaa labda mmoja wa hao wadada ajikute anaropoka. Na mpaka sasa hakuna hata mmoja wao aliye-comment kitu (hint)....cha maana muangalie kwenye ile list ya who is reading this thread]
Hahahahaha mi nahangaika na walwaji kwanza..
Huyo mmoja in no time nitamjua tu..
Arif yani mi nisimjue tena? Labda kama mimi si babu ODM.
Kwa taarifa yako tushakaa naye Leo tuko hapa Pub siku ileee... unakumbuka?
teh teh....nimeanza kujichunguza mwenyewe..maana ''circumstancial evidence'' haiko conclusive...#suspectfree #innocenttillprovenguilty
Hahahahaha mi nahangaika na walwaji kwanza..
Huyo mmoja in no time nitamjua tu..
Mimi naomba nikuthibitishie...ingawa vitu vingi amevibadilisha ili watu wengi wasimfahamu...lakini hii story ni 95% true. Sijajua lengo la mwandishi ni nini kwa kweli ila ndo ivo yani dah!
dah!
dah!
dah!
The nigga is not serious!!!! ( Karucee, kuna ile inner voice inakuambia this story has something....)
hakikuumbwa kwa ajili ya nyerere...!:yo:
Mimi naomba nikuthibitishie...ingawa vitu vingi amevibadilisha ili watu wengi wasimfahamu...lakini hii story ni 95% true. Sijajua lengo la mwandishi ni nini kwa kweli ila ndo ivo yani dah!
dah!
dah!
dah!
The nigga is not serious!!!! ( Karucee, kuna ile inner voice inakuambia this story has something....)
Aisee! Tuko sawa hadi baasi, mimi pia nawataka haohao kwanza.
Me baadae huko!
Mimi naomba nikuthibitishie...ingawa vitu vingi amevibadilisha ili watu wengi wasimfahamu...lakini hii story ni 95% true. Sijajua lengo la mwandishi ni nini kwa kweli ila ndo ivo yani dah!
dah!
dah!
dah!
The nigga is not serious!!!! ( Karucee, kuna ile inner voice inakuambia this story has something....)
Mkuu achana na wote wanaokomenti huku...deal na walio online but perusing this thread,lol! utawapata wote mwandishi na waandikwaji! gadem...
Hahah babu I can swear to you hajawahi fika Leo Tupo Hapa! Dah huyu jamaa ni smart kinoma...
Halafuuuuuuu unajua ID yake siifahamu...but you smell fishy!!!!
Mkuu achana na wote wanaokomenti huku...deal na walio online but perusing this thread,lol! utawapata wote mwandishi na waandikwaji! gadem...
95%???? Hapo umemshushia heshima lara 1.... Hii makitu ni ukweli kwa 100. Kama akiendelea kufichaficha ntamuomba kibali cha kupigwa ban nawataja wote hadharani....
Dogo kawafanya mbaya hawa wamama.... Namwonea huruma yule wa ...... ngoja nimstahi kwanza.
ila kwa wanaume wa humu...!!!
mmmhhh aheri ya nyenyere kkkaaahh!!