The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

Ahahahahahahahahaha....
lara 1 ....am sure u know why am laughing! Hahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah


Ah!

[Yaani wewe Tyta, Asprin, nifah na Steph Curry mkimjua huyu mtu ni nani nitawapa chochote kilichopo ndani ya uwezo wangu ila nawaapia hamtamjua kabisaaaaa labda mmoja wa hao wadada ajikute anaropoka. Na mpaka sasa hakuna hata mmoja wao aliye-comment kitu (hint)....cha maana muangalie kwenye ile list ya who is reading this thread]

teh teh....nimeanza kujichunguza mwenyewe..maana ''circumstancial evidence'' haiko conclusive...#suspectfree #innocenttillprovenguilty
working-on-a-computer-smiley-emoticon.gif
 
Unajua mi nashindwa kuamini kama hii stori kweli? My name is piego... aka thomaso
Hebu niaminishe mkuu..

Mimi naomba nikuthibitishie...ingawa vitu vingi amevibadilisha ili watu wengi wasimfahamu...lakini hii story ni 95% true. Sijajua lengo la mwandishi ni nini kwa kweli ila ndo ivo yani dah!

dah!

dah!

dah!

The nigga is not serious!!!! ( Karucee, kuna ile inner voice inakuambia this story has something....)
 
Last edited by a moderator:
Ahahahahahahahahaha....
lara 1 ....am sure u know why am laughing! Hahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah


Ah!

[Yaani wewe Tyta, Asprin, nifah na Steph Curry mkimjua huyu mtu ni nani nitawapa chochote kilichopo ndani ya uwezo wangu ila nawaapia hamtamjua kabisaaaaa labda mmoja wa hao wadada ajikute anaropoka. Na mpaka sasa hakuna hata mmoja wao aliye-comment kitu (hint)....cha maana muangalie kwenye ile list ya who is reading this thread]

Hahahahaha mi nahangaika na walwaji kwanza..

Huyo mmoja in no time nitamjua tu..
 
Arif yani mi nisimjue tena? Labda kama mimi si babu ODM.

Kwa taarifa yako tushakaa naye Leo tuko hapa Pub siku ileee... unakumbuka?


Hahah babu I can swear to you hajawahi fika Leo Tupo Hapa! Dah huyu jamaa ni smart kinoma...


teh teh....nimeanza kujichunguza mwenyewe..maana ''circumstancial evidence'' haiko conclusive...#suspectfree #innocenttillprovenguilty

Halafuuuuuuu unajua ID yake siifahamu...but you smell fishy!!!!


Hahahahaha mi nahangaika na walwaji kwanza..

Huyo mmoja in no time nitamjua tu..

Mkuu achana na wote wanaokomenti huku...deal na walio online but perusing this thread,lol! utawapata wote mwandishi na waandikwaji! gadem...
 
Mimi naomba nikuthibitishie...ingawa vitu vingi amevibadilisha ili watu wengi wasimfahamu...lakini hii story ni 95% true. Sijajua lengo la mwandishi ni nini kwa kweli ila ndo ivo yani dah!

dah!

dah!

dah!

The nigga is not serious!!!! ( Karucee, kuna ile inner voice inakuambia this story has something....)

95%???? Hapo umemshushia heshima lara 1.... Hii makitu ni ukweli kwa 100. Kama akiendelea kufichaficha ntamuomba kibali cha kupigwa ban nawataja wote hadharani....

Dogo kawafanya mbaya hawa wamama.... Namwonea huruma yule wa ...... ngoja nimstahi kwanza.
 
Last edited by a moderator:
Mimi naomba nikuthibitishie...ingawa vitu vingi amevibadilisha ili watu wengi wasimfahamu...lakini hii story ni 95% true. Sijajua lengo la mwandishi ni nini kwa kweli ila ndo ivo yani dah!

dah!

dah!

dah!

The nigga is not serious!!!! ( Karucee, kuna ile inner voice inakuambia this story has something....)

Naomba urafiki na wewe
 
Last edited by a moderator:
:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
 
Mimi naomba nikuthibitishie...ingawa vitu vingi amevibadilisha ili watu wengi wasimfahamu...lakini hii story ni 95% true. Sijajua lengo la mwandishi ni nini kwa kweli ila ndo ivo yani dah!

dah!

dah!

dah!

The nigga is not serious!!!! ( Karucee, kuna ile inner voice inakuambia this story has something....)

mi nna 99% ya hii ukweli
maana nature ya wadada naifahamu haswa na hutu tuualimu twangu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu achana na wote wanaokomenti huku...deal na walio online but perusing this thread,lol! utawapata wote mwandishi na waandikwaji! gadem...

mkuuu unaangalia wapi watu wanaoperuzi thread bila kuchangia
 
Ngastukaaaaa machale kundesaaaaaaaaaaaaaaa amazing kama hujui kusoma hata picha huelewiii au hata kinyago huelewiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hahahahahahahahahahahah daaaaaaaaaaaaah rahaaaaaje
 
Hahah babu I can swear to you hajawahi fika Leo Tupo Hapa! Dah huyu jamaa ni smart kinoma...




Halafuuuuuuu unajua ID yake siifahamu...but you smell fishy!!!!




Mkuu achana na wote wanaokomenti huku...deal na walio online but perusing this thread,lol! utawapata wote mwandishi na waandikwaji! gadem...

hahahahahaha what a coincidence???

Kuna mmoja nilimdhania alafu namwona yupo lakini hajatia neno kwenye huu uzi..
 
95%???? Hapo umemshushia heshima lara 1.... Hii makitu ni ukweli kwa 100. Kama akiendelea kufichaficha ntamuomba kibali cha kupigwa ban nawataja wote hadharani....

Dogo kawafanya mbaya hawa wamama.... Namwonea huruma yule wa ...... ngoja nimstahi kwanza.

Hahaha babu stori ni 100% true ila kuna chumvi na kuna kubadilisha maeneo, matukio ili kuepusha kufahamika na wengi...


ila kwa wanaume wa humu...!!!
mmmhhh aheri ya nyenyere kkkaaahh!!

Hey Hey geniveros, there are gentlemen here...let no this one nigga tarnish all the men in here!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom