The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

Uzi mtamu sana huu na ninaamini kisemwacho humu ni cha ukweli kabisaaa jpo c mwenyeji sana. Ila kwa experience hawa dada zetu hasa wenye mashauziii ni rahisi sana wapiga gwala
 
NASHUKURU MMEANZA KUTOA USHAHIDI!!!!!!!!!!!! I knew it, i knew something must have gone down! PERHAPS KUNA MORE THAN ONE SILENT KILLERS MAYBE!!!!!!!!!!

Hahahahahah...... mdogo mdogo.

You bet!!!
 

Hahahaaaa!!! Huo ujanja autoe wapi, ye bado kajichokeaaaa anaishia kuota tu wenzie wanakula.
 
Last edited by a moderator:
Mentor unajua kule PM kuna story nyingi sana za umbea na mambo mengine sasa alichofanya lara 1 ni kuziunga tu na kuleta shots here nna uhakika hajaambiwa na mtu aandike hyo auto. Kwa alipofikia na mnavyotiririka ndo anaendelea kupata niuz za kuongeza. Ukibisha sema niandike in Lara way hutatofautisha ila matukio aliyoyaandika baadhi ni kweli kwa mfano wapo wa kuuza papuchi wamo humu wapo wake za watu wapo walokole feki humu yaan jombaa ni kuunga tu pm baaas
 
Last edited by a moderator:
Acha tu leo nimekua member wa mmu ghafla! Ila yule mpuuzi wa siku zile hakosekani kwenye list nakuambia!

Hahaaaa!! Hata mimi hili nilishaliwaza ujue!! Thats y i love you yaani unajuaga kuunganisha dots mpaka unanikera, yule hakosi mama trust me, alafu nahisi km ashatajwa maana kuna mtu hapo imeendana na story yake fulani hivi duuuh!!
 
Hahahaaaa!!! Huo ujanja autoe wapi, ye bado kajichokeaaaa anaishia kuota tu wenzie wanakula.

Nilikua nakutania tu mwaya.Mwenyewe kwa story zake ni mbeba box huko atoke wapi na wadada wa JF zaidi yako bibie atoto?
 
Last edited by a moderator:

Go on and write sir....please do!
 
Hahaaaa!! Hata mimi hili nilishaliwaza ujue!! Thats y i love you yaani unajuaga kuunganisha dots mpaka unanikera, yule hakosi mama trust me, alafu nahisi km ashatajwa maana kuna mtu hapo imeendana na story yake fulani hivi duuuh!!

Hahahaaa,yule kwa ninavyomjua bado.Wewe subiri story ikiendelea nitakupa angalizo tumpime kama ndiye au lah.
 
Mdakuzi haogi leo? Au ndio "tangulia naja"

Hahahaaa,yaani leo anisahau kabisa! Ukipenda boga penda na ua lake.Alinikuta napiga umbea JF hana budi kuvumilia. Lol
 

tatizo na hao wadada wakija kulalamika hawatumii real id lol ila jf ina mambo
 
THE AUTOBIOGRAPHY CONTINUES!!!!!!!!!!!!

Baada ya kumla yule dogo dogo kwa ID ya Watu8 nikamuona mschana kitaa, lakini ikawa hanipi mshawasha ipasavyo. Kiukweli nikawa namuona kama stranger. Nikagundua i am addicted to JF chicks maana kupitia maandishi ya everday nakuwa nawajua in and out. Sasa demu wa kitaa nakuwa kama simjui kabisaa na kumchunguza naona tabu. Ila nikagundu niendako si kuzuri. It is when i decided i needed help! Concealing sababu it is not a normal behavior. Nikaamua kumconsult dada mmoja humu mtu wa heshima na kuaminika. Niliamua kumchukua an older matured woman sababu nikajua sitomla. Basi kweli yule dada humu akawa ana ni counsel na nini. Sikumwambia lakini what i have done at all, LIKE KUMUONESHA WHERE I BURIED ALL THE DEAD BODIES. Basi yule dada akadai tuonane anicounsel vizuri.Aapropose lunch. Mi nikaenda. Kiukweli ni dada wa makamo lakini mcute cute flani hivi mnagable for human consumption. Basi akanishauri uongo na kweli, nikamwambia narudi kazini. Jioni akanitext tukutane tenaaa, nimpitie ofisini kwake. Nikasema mmmmmh! Anyway ngoja niende nikampitia tukaenda kunywa. Saa 5 haoneshi dalili za kuondoka. Saa 7, nikammwambia twende nikupeleke kwako mi nikaulaze. Akakubali, nimedrive mpaka kwake hapa hapa mjini kati, ile anataka kushuka akanidaka na denda la nguvu. Kama nilivosema mi mwanaume rijali sio mngese wala joka la kibisa, nika respond. Mambo yakakolea, nikamuuliza tuingie ndani kwako au? Akasema nooo nina watoto wakubwa siingizi wanaume ndani, tumalizane hapa hapa. Nikala mzigo COUGAR kama kawaida. Ila baadae nilijisikia vibaya sana kwa kukosa ustahimilivu. Tatizo cougar akataka kunimiliki na kunifanya baby daddy kula mzigo mara moja tu!!!! Looooh! Nexttime tumekuta akanikomalia nimsindikize mlimani city, kachukua mavitu kibaoo ya kutumia ndani mwezi mzimaaa, afu mda wa kulipa, akajifanya kasahu nini sijui kaniachia torolli kwenye folleni. Bill ikaja 400,000/= MF! Nikatoa kadi akachaji kwenye kadi. Basi katoka anajichekesha hatari, nikafosiwa tupitie lodge nikapewe mzigo nikagomaaa kabisaaa. Baada ya hapo nikamchinjia baharini, mwenyewe sina mtoto sababu sitaki, kulea cougar sio issue. Nikamchiinjia baharini.

Kukawa na binti mlokole anavuma sanaa humu.

INAENDELEA!
 
Last edited by a moderator:

Hahahaaaa!!! Huo ujanja autoe wapi, ye bado kajichokeaaaa anaishia kuota tu wenzie wanakula.

......mmmh!
 
Last edited by a moderator:
Nilikua nakutania tu mwaya.Mwenyewe kwa story zake ni mbeba box huko atoke wapi na wadada wa JF zaidi yako bibie atoto?

Mmmh!! Hili la mm peke yangu naomba nikupinge, sijiaminishi hili ng'ooooo
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa,yule kwa ninavyomjua bado.Wewe subiri story ikiendelea nitakupa angalizo tumpime kama ndiye au lah.

Hahahaaaa! Na akikosa basi hili jukwaa siingii tena nakwambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…