Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NASHUKURU MMEANZA KUTOA USHAHIDI!!!!!!!!!!!! I knew it, i knew something must have gone down! PERHAPS KUNA MORE THAN ONE SILENT KILLERS MAYBE!!!!!!!!!!
Hahahaaa never say never hili hata mimi nimelifikiria ila nikaunganisha uhalisia wake na huyu silent killer sio kabisa.
Mdakuzi kwa nature ya kazi yake yuko busy sana,pia hayo maisha ya huyu jamaa tofauti na yeye kabisaa.Maana huyu kuna kipindi alikua hana kitu wakati Mdakuzi ni tofauti nae.
Who knows? Isijekua ni Viol wako na wewe ndio upo kwenye list?
Hahahaaa....
Acha tu leo nimekua member wa mmu ghafla! Ila yule mpuuzi wa siku zile hakosekani kwenye list nakuambia!
Hahahaaa,leo huku nimefikishwa aisee...sibanduki hata aje nani!
Mentor unajua kule PM kuna story nyingi sana za umbea na mambo mengine sasa alichofanya lara 1 ni kuziunga tu na kuleta shots here nna uhakika hajaambiwa na mtu aandike hyo auto. Kwa alipofikia na mnavyotiririka ndo anaendelea kupata niuz za kuongeza. Ukibisha sema niandike in Lara way hutatofautisha ila matukio aliyoyaandika baadhi ni kweli kwa mfano wapo wa kuuza papuchi wamo humu wapo wake za watu wapo walokole feki humu yaan jombaa ni kuunga tu pm baaas
Hahaaaa!! Hata mimi hili nilishaliwaza ujue!! Thats y i love you yaani unajuaga kuunganisha dots mpaka unanikera, yule hakosi mama trust me, alafu nahisi km ashatajwa maana kuna mtu hapo imeendana na story yake fulani hivi duuuh!!
Mdakuzi haogi leo? Au ndio "tangulia naja"
ANOTHER HINT: Tafuteni threads za wadada waliolalamika anything similar to the stories za huyu jamaa. It's very funny yani...coz after every episode a lady would come asking in a new thread, "Nifanyeje awe anajibu msg zangu!" (huo ni mfano tu).
Dah!
Hahahaaa never say never hili hata mimi nimelifikiria ila nikaunganisha uhalisia wake na huyu silent killer sio kabisa.
Mdakuzi kwa nature ya kazi yake yuko busy sana,pia hayo maisha ya huyu jamaa tofauti na yeye kabisaa.Maana huyu kuna kipindi alikua hana kitu wakati Mdakuzi ni tofauti nae.
Who knows? Isijekua ni Viol wako na wewe ndio upo kwenye list?
Hahahaaa....
Hahahaaaa!!! Huo ujanja autoe wapi, ye bado kajichokeaaaa anaishia kuota tu wenzie wanakula.
Hahahaaa,yule kwa ninavyomjua bado.Wewe subiri story ikiendelea nitakupa angalizo tumpime kama ndiye au lah.