The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

Hahahahaaaaaaaaaaaaa! Kuna scene ya Tichaa NIMEIMINYIAAA tu manake nilihisi watu watamuhisi SNOW WHITE, and me n snw white we cool, nikaona sio issue niiminye kibindoni, sasa walimu mkijishau shaua naimwaga hadharani sasa. Mtulie kam mnanyolewa.
hahagahahahahahaahaha mi nakula vitu vyangu taratiiiiiiibu kwenye list of lust za aina hii??NEHIi ,and you know it!
Kwanza ungenichambaaaaje??
 
THE AUTO BIOGRAPHY CONTINUES!!!!!!!

Hili swala la kujigeuza mbeba box sikuli plan wala halikuwahi kukatiza ubongoni mwangu hata mara moja, ilitokea tu ka reflex action. Kuna wakongwe humu akiwemo babu la babu Asprin wanajishaua sanaaa, oooh nina magoma yangu ya uhakika, ya muda mrefuuuu, nachukua watu wanaojilewaaa siokoti okoti. Kitendo cha Asprin kuwa na STANDARDS katika michepuko yake, and the fact that fact that he is always honest hat he is happily married for a log time and he still gets the best pu.ssy in here all the time kiliniuma sanaaa ndani kwa ndani. It was like he was playing a different league, way too cool of a league. OVER TIME HE HAD BECOME THE LEAGUE ITSELF!!!!!!!!!

I did not like any part of it at all. Why? In case you are asking yourselves why because it was simply NOT FAIR! By this time he was hunting effortlessly! The prey was coming to him rather than him going on a hunt, begging eat me Asprin, eat me Asprin, eat me pleaseeee! It wasnt fair for 1 married man to get all the glory of the best pu.ssy , the educated, working class, multinational pu.ssy all by himself. NOT FAIR ONE TINY BIT.

Kusema kweli hili swala lika ni haunt sanaaa. Wazungu wanasema IF IT HAUNTS YOU BUY IT! Hahahaa! Nikasema ngoja na mimi nicheze ligi ya mabingwa kama babu la babu. Standards zilikuwa muhimu, lazima nipate demu anaejua kuoga, anakula na uma, ana smell class all over. Na sitaki vitoto, nataka wadada in their 30s., them beautiful, matured, sensible intelligent dadas just the way Asprin likes them. Basi katika pita pita zangu nikamuona mdada mmoja anaomba ushari yeye ni single mothe na nini.

Kilichonivutia ni wakongwe karibia woteee kumu endorse kirahisi rahisi tu. Mmmmmh! Ikaja post kwenye msiba wa nani sijui alitoa laki 8 rami rambi. Mmmmmmh! Nikasema this i what i am talking about. Atakuwa very humble and sensible. Nikaanza ku m pm kama kawaida yangu. Kusema kweli she was really a different league. TO BE HONEST I RAISED MY BAR walau nicheze level zake. I tried so hard to fit in her world. Kama kawaida yangu nikatuma picha, nashukuru Mungu sura na kimo haku ninyima. Basi tukawa tunaongea ongea, baadae i broke the ice wall between us tukaanza kuwa honest with each other, nae akanitumia picha. Sasa picha yuko Italy!

Mmmmmh! Ndo kumuuliza Italy umeenda likizo, akanijibu No, me naishi huku mdaaa! Akili zikanichaji fastaaaaaa, nikaona it is another time to raise my bar ama sivo nitamkosa huyu mtoto. Nikatia na mimi niko U.S, Wichita. Najua possibility ya mbongo kuwepo Wichita sio kubwa. Akaniambia oooh! Nilikuwa nawaza ku relocate na nini, i am consideing U.S. Mie tenaaa. Namwambia karibu unaweza kucrush hapa untill uwe on your feet ndo utahama. Akadataaaaaaaa! We became really close.

Ukisikia bahati ya mtende ndio iliotokea demu akawa anakuja Bongo, umeonaaa, akaniambia, I raised the bar again, nikamwambia na mimi nitakuja Bongo just for you, tuonane and spend some quality time. Akafurahiii kishenziii. Uzuri haa mademu wa nje washazoea kijigharamia, she checked in Holiday In pale, nikatoka zangu Wichita ya Mbezi na Altezza kwenda holiday inn kula mambo. Mnashangaa nini sasa. It was of the best pu.ssy i have ever tasted in here. Tukakaa siku tatu. Then akawa anaenda kwao, nikataka kumpa $1000 kuchangia tu gharama aka kataaa kata kata.Hakuchukua hata kumi. I guess i will be specializing in box pu.ssy it is cheap and of superb quality.:lol:. Baadae nikamwambia bwana eeeh imenibidi kurudi Wichita ghaflaa so have a nice stay in Bongo. Akasikitikaaa. Basi yeye alikuw anakaa mwenzi mzima.

Tunawasiliana kwa whatsup kwenye namba nime mblock. Siku hio sina hili wala lile niko high spirit lounge nagida maji na washkaji nikasikia naguswa bega. Kugeukaa Mbeba boxi huyu hapaaa! Tobabaaaaaa!Mchan huo huo nilijifnya niko Wichita. Maneno yaliniisha. Nae hakusma kitu akaondoka kasi uzuri kafanya seen a plus to box pu.ssy! Washkaji wako mfate demu yule, atagongwa na gari, we mshkaji chengaa. Nikawaambia komeniiiiii, acheni kuwa lege lege she will be fine. Tuendelee kunywa.

Kiukweli nilivutiwa nae mnoo, mara kibao nilijaribu kuandika appology lakini kina apology naiona lame, nilijaribu ku come clean several times, lakini i saw it was lame and pointless she wasnt comming back. Nikakaaa tu. Wiki 2 zikaisha kimya kimya, siku hio kama Mungu nikaona Hi! Toka kwake. Mmmmh! Nikajibu tu I am Sorry! Basi ikaja risala ya kufa mtu. You are a bastard, insensitive, cold, senseless, cock sucker, et l not worth my love and attention, but you stole my heart, after everything i still have feeling for you! I hate you, i hate you! Mmmmh! Nikasema another time to raise the bar again!

Nikamwambia sorry i lied, lakini this insensitive cock sucking bastard still wants you back badly! If there is any chance, any chance at all njoo home, maeneo flani, ulizia semehemu flani, geti la 3. I will be waiting. Siku hio nimekaa siku nzima,hakuja wala nini. Nikaona basi tenaaa! Siku 3 hajaja bila bila.

Siku ya 4 sina hili wala lile natoka kazini namkuta ka kaa kwenye ngazi nje kwangu ananingoja. Mmmmh! Nikasema hapa kimbembe, nikaanza kumpiga biti House boy kwanini humkaribishi mama mweny nyumba ndani? Hahahaaa! Kujikosha tu, akasema nimemkaribisha kasema nje kuna upepo. Akili inanienda race nalizima vipi hili sooo.

Najisemesha nyumbani hawajambo, huku tunaingia sebuleni, aka kaa nikapitiliza chumbani kwangu, nikamuita njoo huku mara moja, akawa anagoma, nikamwambia njoo nikuoneshe kitu. Akaja nafikiri hata fo her things were going too fast! Kuchungulia nikamdaka a mibusu tuka angukia kitandani, mengine mtuachie baba na mama. Badae msamaha naomba mikono io sehmu husika nitakataliwa? Ndo nikamwambia ukweli wooote hadi hii biashara yangu ya ukaguzi kaguzi. Nikamwambia kusema kweli pale kwake nimefika mwishooo. Ukaguzi nawaachia wenyewe.

Mmmmh akanisamehe lakini sababu hana imani na mimi ndo kanifosi KUANDIKA HII AUTOBIOGRAPHY kwa anachoamini kuwa IT WILL BURN ALL THE BRIDGES NA ACCOMPLICE WANGU WOTE WA MMU! Baada ya hili gazeti sidhani kama ambae atajibu whats up yangu not that i intend to whatsup them. Just in case. Mimi nimetulia sahivi miezi kibao na mbeba box, asharudi Italy na we are expecting a babby together. Mambo yakienda vizuri naweka ndani kabisaaa, anarudi home hapa tunatunza familia.

NAOMBENI NYOOTE MNISAMEHE, I WAS JUST A CLUELESS BOSS WITH EVIL INTENTIONS, SAHIVI I AM A MAN AND I AM NOT PROUD OF WHAT I DID.

I HAVE OWNED MY MISTAKES AND I AM ASKING YOU TO FORGIVE ME!!!!!!!!!!! MAISHA SAFARI NDEFU, AND ALL THE MEDIOCRE WAS NEVER WORTH IT, NOT ONE TINY BIT!

MUOMBE NIOE SALAMA, IF SHE BREAKS MY HEART I WILL SWEEP THIS MMU , NO STONE WILL BE LEFT UNTOUCHED.

I AM NOT WHO YOU THINK I AM, BECAUSE I AM A ONE MANS SHOW, ONE MANS ARMY, THE ONE AND ONLY SILENT KILLER TURNED TO BEST BABY DADY THERE IS. :noidea:

************************************THE END******************************************************


Sasa Does the MMU LADY COLLECTOR OF ORGASMS GET HER AUTOBIOGRAPHY OR NOT?
 
Last edited by a moderator:
....

************************************THE END******************************************************


Sasa Does the MMU LADY COLLECTOR OF ORGASMS GET HER AUTOBIOGRAPHY OR NOT?

daaaaahh very good narration
kweli ndege mjanja hunasa tundu bovu

poleni mliopitiwa
pyeeeee
 
Dah!! Jamaa amefaidi Sana! Huyu marejesho amenitight kabla sijafaidi kitu JF! Aaagh....
 
Last edited by a moderator:
Halafu mwenywwe mwenyewe anajiona shujaa.....
Haoni anavyotumia/alivyotumia muda na pesa..




Tatizo lake ni kubwa kuliko anavyofikiria...

Matibabu ni dawa ya kuponya ugonjwa. Hasara rrroooho, pesa makaratasi. Alikuwa mgonjwa/muhitaji huyu, alikuwa muungwana na mwenye rrrooho safi.....Alifahamu ni wapi tiba ya ugonjwa wake ilipo. Akijua kuwa tabibu ni mtu, na dawa ya ugonjwa wake ni utu....alijua angepata matibabu pasi na shaka bila kuwepo mitizamo ya makaratasi.

Mahali pa matibabu aliwakuta matabibu chekwaaa, wakamsimanga kwa hali yake, wwkasema utu wao ni pesa na yey hakuwanazo! Akaugulia maumivu...na kumuomba Mungu amjaalie one day awe na mahela, aununue huo utu wao na kuuchezea atakavyo. Watu hao ni ninyi ma-bidada. Haijalish mmeolewa au lah! Mwafanana kwa vilemba.

Amewalipa na wengne kam yey, wamo safarini kununua utu wenu. Huyu kasema alivotekeleza kiapo chake, but wengne wapo kimy(they still killing silently). Binafsi nampongeza, kwa kuwa amejitibu...na kwa kusema alivowatenda, AMEPONA KABISA. Ila sasa atakuwa na mwendelezo wa mbunye kwa mtindo huo huo na walengwa hao hao, coz ameshazoea, na na-bidada dizaini hiyo ya njaa njaa na pesa kupitia papuch hawaishii!!! Yaani ni chem chem isiyokauka.

Wakati wa jana wana-expire leo na kuitwa screpa/used...., leo wapo wa moto moto ambao watapoa kesho na kuwa ndaza, na kesho itakuja tena brandynew....xo dunia inazunguka. TUIJUE DUNIA YETU NA TUISHI TUWEZAVYO, MARIDHIANO YATUPE AMANI. TAFUTA ile unayoamini wew ndo furaha yako ukiishi duniani na ufurahie maisha. Tumia pesa kuondoa udhia...mbele tusonge. Mwenye pesa ndo bossi, nipe yako nami nikupe yangu...tunaishi kwa kupeana. MCHOYO HANA RAFIKI. MNYONGE PIA, MNYONGENI lakin haki yake mpeni.

NIMEIPENDA SANA OUTOBIOGRAPHY YAKE.
 
Jamaa katumia ujana inavyotakiwa, mpaka kapata kiwango anachohitaji.
 
Nataman niweke comment ya kiushadadi nashindwa. Sijajua kama huu ushuhuda umenifurahisha au nimehuzunishwa. Ila nina uhakika nimejifunza sana.

Nimekuwa Jf miaka mingi kidogo na nimesoma na kuona mengi . Hii ni jamii chochote kinaweza tokea.
 
hahagahahahahahaahaha mi nakula vitu vyangu taratiiiiiiibu kwenye list of lust za aina hii??NEHIi ,and you know it!
Kwanza ungenichambaaaaje??

Ticha long time aisee..................

Btw huyo ticha aliyenanihii na ze muuaji mkimya lazima atakuwa waleee wa voda fasta...............nyie wa enzi za UPE si rahisi kuhadaika.
 
Mbona mimi ctajwi humu kama kina Watu8 na wengineo....mmmh may b episodes za mbele mbele ngoja niendelee kusoma
 
Daah nahisi mimi ndo lone Ranger pekee umu ndani ambae hana autobiography ya papuchi, lara 1 tupe ya that lady please she deserves it
 
Last edited by a moderator:
Bora imeisha maana nilikuwa mtumwa toka imeanza..kila saa nabofya app ya JF...huyu jamaa noma.....!
 
Back
Top Bottom