Huo utamu kwa hao walioliwa na wao si wameupata,mtu ambae anataja dau kabisa ujue na yeye amejiwekea hapo yupo temporary, maybe uraiani ana wake,hili ni funzo wengi humu ni matapeli wa mapenzi, na wengi wanaojifanya watakatifu ni wana prpretend tu.kwa uzi huu maybe wengi watajifunza. Nashukuru sijawahi kukutana live na mtu humu. Na kwa haya maelezo ndio kabisa nimejifunza, inaonyesha mtu akishaonja kwa mtu, watu wanaambizana kwenye pm.wanaume hafai, kama umepata au umepatikana jifunze na sio kuishia kujisifia huo ni utoto
Hapo ndio huwa sielewi akili za wanaume, cjui huwa wanaona sifa kusema nimetembea na fulani na fulani ama? Duuuh
Mzima..miss u. Njoo nkwambie kitu
Mzima..miss u. Njoo nkwambie kitu
Ukimwambia nakusemea
Yaani kama haya mambo ni kweli aisee ni aibu sana
watajua wenyewe
sasa uliza hao wanaojiuza humu ukute wengine wala si walimu
si bora mie muuza juice na visheti haya je huyo muuza uchi
aiseee mambo magumu!
Minyaaaa....
Hivi kuna watu wanaopenda kujadili mambo ya sirini kama wanawake!!
Wanawake hapana hawezi kumweleza mwanamke mweziwe wanaume hata kama ana kibamia atasimulia kwa wote aonekane ni jogoo mshenzi hiyo ni tabia za kutokupevuka akili tu.
We unsjua kabisaaaa kitu gani mie napenda na ukikifanyaga hicho yaani mie chaliii cna ujanja tena, just do the needfull