The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

Huo utamu kwa hao walioliwa na wao si wameupata,mtu ambae anataja dau kabisa ujue na yeye amejiwekea hapo yupo temporary, maybe uraiani ana wake,hili ni funzo wengi humu ni matapeli wa mapenzi, na wengi wanaojifanya watakatifu ni wana prpretend tu.kwa uzi huu maybe wengi watajifunza. Nashukuru sijawahi kukutana live na mtu humu. Na kwa haya maelezo ndio kabisa nimejifunza, inaonyesha mtu akishaonja kwa mtu, watu wanaambizana kwenye pm.wanaume hafai, kama umepata au umepatikana jifunze na sio kuishia kujisifia huo ni utoto
 

Hapo ndio huwa sielewi akili za wanaume, cjui huwa wanaona sifa kusema nimetembea na fulani na fulani ama? Duuuh
 
watajua wenyewe
sasa uliza hao wanaojiuza humu ukute wengine wala si walimu
si bora mie muuza juice na visheti haya je huyo muuza uchi
aiseee mambo magumu!

Hahaha aje na mwanamke na y aseme yake stori ibalance
 
Mpwa vipi tena mbona unadukua nilipomensheniwa....teh teh teh!!!

cc amu

Hahaaa mpwa udukuzi muhimu ati hii sredi ukikaa vibaya unaangukiwa na jumba bovu...hapa mbinu zote zinatumika😀
 
Last edited by a moderator:
Hivi kuna watu wanaopenda kujadili mambo ya sirini kama wanawake!!

Wanawake hapana hawezi kumweleza mwanamke mweziwe wanaume hata kama ana kibamia atasimulia kwa wote aonekane ni jogoo mshenzi hiyo ni tabia za kutokupevuka akili tu.
 
Niambie shemeji darling mpenzi atoto nikuhonge nini uziuze raman

We unsjua kabisaaaa kitu gani mie napenda na ukikifanyaga hicho yaani mie chaliii cna ujanja tena, just do the needfull
 
Last edited by a moderator:
Wanawake hapana hawezi kumweleza mwanamke mweziwe wanaume hata kama ana kibamia atasimulia kwa wote aonekane ni jogoo mshenzi hiyo ni tabia za kutokupevuka akili tu.

Kabisaaaaa sie wanawake huwafichia sn aibu zao hawa ila wao ni km wanawashwa, alafu wanaona umalaya ni sifa, missed you Diva
 
Last edited by a moderator:
We unsjua kabisaaaa kitu gani mie napenda na ukikifanyaga hicho yaani mie chaliii cna ujanja tena, just do the needfull

Basi ntakufanyia darling..minyaaa....hadi utafurahi kama kawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…