Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Ahahahahahahahahaha....
lara 1 ....am sure u know why am laughing! Hahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah
Ah!
[Yaani wewe Tyta, Asprin, nifah na Steph Curry mkimjua huyu mtu ni nani nitawapa chochote kilichopo ndani ya uwezo wangu ila nawaapia hamtamjua kabisaaaaa labda mmoja wa hao wadada ajikute anaropoka. Na mpaka sasa hakuna hata mmoja wao aliye-comment kitu (hint)....cha maana muangalie kwenye ile list ya who is reading this thread]
wadada mpppooooooooooooooooooo.....!!!!!
hahaaaaaa babu eeeh kwani we mbona nakukubali zaidi ya huyo Watu8... jitambulishe tu we ni Asprin then uone utakavokula tamu kiulainiii😂😂😂Ahsante sana lara 1 kwa kunipa hii janjajanja..... Watu8 amsore mpwa... kuna kabinti itabidi nikatafune kwa kutumia ID yako. Endelea hivyohivyo kufunga PM yako ili lisije likagangaburuka.
Na hivi laramoko kashaniita mi ni lijendi wa MMU, naweza kusafira nyota yako au ya umaarufu wangu kukatafuna haka kabinti. Eshy m.s be prepared.... am cummmmming beibeeeeee.....
Hahaaaa tena na umuite kwa sauti kuu...
Nimekuja mpwa..... naona kama neema imefunguliwa pande zangu...
Heheh...kwa hilo buyu la asali utakalo kumpatia lazima aitike hata akiitwa kwa sauti kiduchu
Aliyekudanganya sijuagi ni nani? We ndo hujuagi mi nakupenda zaidi ya unipendavyo.Hahahaaaa nampendaga huyu babu sema tu basi ye hajuagi... mwambie buyu la asali lipo kwa ajili yakee
Naja chapchap sana.... ole wako unichomeshe mahindi kama siku ile....:glasses-nerdy:Asanteee ndo mana nakupendaga huchelewii, chap come zile chobingo zetu tena uje without
Papa Zimepigwa sana jf na mabaharia wanapigiana pasiKumbe MMU ya zamani ilikuwa moto hivi. Ukiparamia mtu aliyeko humu tangu mwaka 2014 huko jua tu kuwa unacheza na mtu aliyepigwa na kuchezewa sana na mabaharia wa hapa MMU. Mnaoshobokea mademu wa hapa kazi mnayo πππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ
Yeah! PM huko pasi na connection kama zote pamoja na bei elekezi. MMU ni sawa tu na danguro!Papa Zimepigwa sana jf na mabaharia wanapigiana pasi