The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

Nina wasiwasi na wewe, kama vile hutaki hii story iendelee!

Umejuaje kuwa hataki na wewe mana according to topic mwanaume ka date wengi si mmoja kwahyo kumsema mmoja nadhani sio sahihi kivile let's wait and see.
 
hahaha Jamaa angeshaliwa tigo hahahaha uswazi noma sana..
 
Kumbe kuna unyan'gau sana humu eehh. Duu ila jamaa muoga, alikumbuka kuvua shanga za watu kweli au alisepa nazo..

Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Mshenzi wewe umenicheksha mpaka mkojo umgonga chupi! Shwaini kweli.
 
Hahah...umefikiria mbali sana mkuu...maana kama ni dimbwi la maji limetibuliwa sasa hadi lije kutulia wengine tutakuwa tushadedi kwa kiu...

Kabisa kaka. Unless wale samaki wenye roho ngumu wawe wanarukaruka juu wavuliwe. Ila wale waoga wameshakimbilia mapangoni.
 
Damn!!! What the f worddddddd!!!!

....Nikaona kanapenda mastaa! Nikasema nikataka kumwambia mi The Boss, lakini nikajikuta tu nasema mimi Watu 8, the imposturee. Basi kipindi hiko Lara 1 anamsifia watu 8 hatariiii. Basi ananiuliza so kweli you are hot kama wanavosema kina Lara, those girls lazima wakutaje, haiishi siku. Namwambia why dont you find out for yourself?. Basi kakapagawaaa! Alivompanaa akaenda kuwauliza watu walioenda party huyu watu 8 yukoje? Akapata positive review, nitumie pichaa, nikamtumia yangu, akadataaa. Nacho shukuru Mungu ni watu 8 kafunga PM so there is no way ange m PM na kujua mimi ni imposture. Basi nikakatoa out, kamelgeaaa, nikasema hii hailali wala simpeleki home, nachukua room hapa hapa. Tumekunywa nikamwambia tuamie chumbani, akakubali, kazi ikaisha. Sema mambo hakajui wala nini masharti kibaoo, sishiki MIC, sijui nini. Aaaarggh! Kesho kani text Bae! WTF! Nikakaptezea mdogo mdogo. Nikamuuliza yule mchizi ile kazi ushaifanya? Yani kashamla yule demu? Mchizi akajibu kwa masikitiko kaniambia hawezi kukutuna coz yuko comitted na watu8 they are dating in a serious relationship! Hahahahaaaaaaaa! :lol::lol::lol::lol::lol:! Nikasema watu8 eeeeh? Wachaaaaa! huyu watu8 mshenzi kweliii, kakuzibia rizki! Akasema ndo hivoo. Watu 8 nisamehe kwa yote, na bi dada it wasnt wasnt the real watu8 it was me the silent killer, the imposture! Ila kiukweli haikuwa uungwana kufunga goli kwa mkono kama Pele.
 
Umenitupa jirani. amu...hata sms jirani?tatizo nini..

Mzee mwenzangu, leo lara moko lara 1 kafanikiwa kuniketisha chini kufuatilia umbea. Ukinusanusa hujamjua huyu chalii??

Mi nshamjua, si unajua mababu huwa tunapewa umbea na wajukuu??
 
Last edited by a moderator:
Damn!!! What the f worddddddd!!!!

HAHAHAHAAAAAAAAAAAA! Ndo hio bwana kijana ALISAFIRIA LIFT YA NYOTA YAKO! Mjini hapaaaaa! Ukisusa wewe wenzio wnakula kwa jina lako!:lol:. Unafikiri angetumia new ID angepata chiu wa promotion?????????:biggrin:! It was jsut one time, it is not like it killed you or something!!!!!!! Mbinu zinakubalika vitani.
 
Hahahahaaaaaaaaaa! Acheni fujo! miss chagga tunapanda gari moja kwenda Moshi, siwezi kumtaja, CUT HER SOME SLACK SHE IS SMART INDEED!
ha ha ha ha lara 1 mimi nilivishwa shanga kiuno kipo tumboni bibi wee!..... kijana akalie wapi? kunyonya corn kuzuga tu kiuno hakiendi ha ha ahahahaha
 
Watu 8 hahahahahaha!!!! Jamaa kapiga mzigo kwa jina lako asee...
lara 1...you have my full attention hapa...
 
Last edited by a moderator:
Mzee mwenzangu, leo lara moko lara 1 kafanikiwa kuniketisha chini kufuatilia umbea. Ukinusanusa hujamjua huyu chalii??

Mi nshamjua, si unajua mababu huwa tunapewa umbea na wajukuu??
babu unapoelekea ni kusugua gaga tu:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
 
lara tupe mambo pliiz@nifah@dinazarde@warumi

Huyo nifah hili litamfaa maana kwa udaku yule mtoto, hebu ukuje au huu wewe huupendi?

Nyie acheni tu.Hadi sasa hivi sijanywa hata chai najaribu hata kujenga picha ya wahusika nashindwa!
Yote hii sababu nilichelewa kujiunga humu JF aiseee.
 
Last edited by a moderator:
Kabisa kaka. Unless wale samaki wenye roho ngumu wawe wanarukaruka juu wavuliwe. Ila wale waoga wameshakimbilia mapangoni.

Basi wewe na Watu8 hamjui SMAKAI SASA NDO WATAPATA CONFIDENCE KUWA HUMU NDANI MAMBO KUPEANA TUUUUU! Wasiwasi unatwatoka wote. Huwajui wasichana wewe, kivumacho ndo wakifanyacho!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom