The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

Nina wasiwasi na wewe, kama vile hutaki hii story iendelee!

Umejuaje kuwa hataki na wewe mana according to topic mwanaume ka date wengi si mmoja kwahyo kumsema mmoja nadhani sio sahihi kivile let's wait and see.
 
hahaha Jamaa angeshaliwa tigo hahahaha uswazi noma sana..
 
Kumbe kuna unyan'gau sana humu eehh. Duu ila jamaa muoga, alikumbuka kuvua shanga za watu kweli au alisepa nazo..

Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Mshenzi wewe umenicheksha mpaka mkojo umgonga chupi! Shwaini kweli.
 
Sio huyo mwenye shanga kweli??

Hahahahaaaaaaaaaa! Acheni fujo! miss chagga tunapanda gari moja kwenda Moshi, siwezi kumtaja, CUT HER SOME SLACK SHE IS SMART INDEED!
 
Last edited by a moderator:
Hahah...umefikiria mbali sana mkuu...maana kama ni dimbwi la maji limetibuliwa sasa hadi lije kutulia wengine tutakuwa tushadedi kwa kiu...

Kabisa kaka. Unless wale samaki wenye roho ngumu wawe wanarukaruka juu wavuliwe. Ila wale waoga wameshakimbilia mapangoni.
 
Damn!!! What the f worddddddd!!!!

 
Umenitupa jirani. amu...hata sms jirani?tatizo nini..

Mzee mwenzangu, leo lara moko lara 1 kafanikiwa kuniketisha chini kufuatilia umbea. Ukinusanusa hujamjua huyu chalii??

Mi nshamjua, si unajua mababu huwa tunapewa umbea na wajukuu??
 
Last edited by a moderator:
Hacha nipige box kwanza, I will back later.
 
Damn!!! What the f worddddddd!!!!

HAHAHAHAAAAAAAAAAAA! Ndo hio bwana kijana ALISAFIRIA LIFT YA NYOTA YAKO! Mjini hapaaaaa! Ukisusa wewe wenzio wnakula kwa jina lako!:lol:. Unafikiri angetumia new ID angepata chiu wa promotion?????????:biggrin:! It was jsut one time, it is not like it killed you or something!!!!!!! Mbinu zinakubalika vitani.
 
Hahahahaaaaaaaaaa! Acheni fujo! miss chagga tunapanda gari moja kwenda Moshi, siwezi kumtaja, CUT HER SOME SLACK SHE IS SMART INDEED!
ha ha ha ha lara 1 mimi nilivishwa shanga kiuno kipo tumboni bibi wee!..... kijana akalie wapi? kunyonya corn kuzuga tu kiuno hakiendi ha ha ahahahaha
 
Watu 8 hahahahahaha!!!! Jamaa kapiga mzigo kwa jina lako asee...
lara 1...you have my full attention hapa...
 
Last edited by a moderator:
Mzee mwenzangu, leo lara moko lara 1 kafanikiwa kuniketisha chini kufuatilia umbea. Ukinusanusa hujamjua huyu chalii??

Mi nshamjua, si unajua mababu huwa tunapewa umbea na wajukuu??
babu unapoelekea ni kusugua gaga tu:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
 
lara tupe mambo pliiz@nifah@dinazarde@warumi

Huyo nifah hili litamfaa maana kwa udaku yule mtoto, hebu ukuje au huu wewe huupendi?

Nyie acheni tu.Hadi sasa hivi sijanywa hata chai najaribu hata kujenga picha ya wahusika nashindwa!
Yote hii sababu nilichelewa kujiunga humu JF aiseee.
 
Last edited by a moderator:
Kabisa kaka. Unless wale samaki wenye roho ngumu wawe wanarukaruka juu wavuliwe. Ila wale waoga wameshakimbilia mapangoni.

Basi wewe na Watu8 hamjui SMAKAI SASA NDO WATAPATA CONFIDENCE KUWA HUMU NDANI MAMBO KUPEANA TUUUUU! Wasiwasi unatwatoka wote. Huwajui wasichana wewe, kivumacho ndo wakifanyacho!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…