lara 1 ya huyo mdada ishapitishwa.....ilete!
BTT: Ila humu watu ni washenzyyyy haijalishi hii story ni ya kutunga au true.
Nikikumbuka ile story ya kina
Mentor na verossa lao, likaja saga la kina
dalaber, mara wengine wakashitakiana madildo bila kusahau kipindi kile yule mkaka alojifanya KE akala pesa za watu kumbe ni lidume hahahahaaaa patamu humu aiseee and panatisha at the same time!
Na wewe mama mtu mzima humu unayetembeaga na dogodogo ipo siku watakuchojoa tu hadharani heheheeee yetu macho sie!
Teh teh teh hivi
KOKUTONA kapita hapa jameni?
Njoo upite huku mwaya barabara imewekwa lami!