Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Vijana wanafaidi ndio ila bhana hakuna marefu yasiyo na ncha.
Watakuja walimwage maana naona watu washakuwa inspired na hii story!
Ndo maana sipendi kukutana na wanaJF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wanafaidi ndio ila bhana hakuna marefu yasiyo na ncha.
Watakuja walimwage maana naona watu washakuwa inspired na hii story!
kaz gani hiyo??? Hebu itaje, coz hatumtaji mtu moja kwa moja. Taja iyo kazi nikwambie kitu.(nikufafanulie yaliyomo).
lara 1 ya huyo mdada ishapitishwa.....ilete!
BTT: Ila humu watu ni washenzyyyy haijalishi hii story ni ya kutunga au true.
Nikikumbuka ile story ya kina Mentor na verossa lao, likaja saga la kina dalaber, mara wengine wakashitakiana madildo bila kusahau kipindi kile yule mkaka alojifanya KE akala pesa za watu kumbe ni lidume hahahahaaaa patamu humu aiseee and panatisha at the same time!
Na wewe mama mtu mzima humu unayetembeaga na dogodogo ipo siku watakuchojoa tu hadharani heheheeee yetu macho sie!
Teh teh teh hivi KOKUTONA kapita hapa jameni?
Njoo upite huku mwaya barabara imewekwa lami!
Aaah wapi naona unataka kunisingizia
Alafu kuna kitu nilitaka kukuuliza nikasahau
Akusingizie wewe tu kwasababu gani??? Mwambie hayo yalikuwa mapito tu now tunaganga ya mbele
Aaah wapi naona unataka kunisingizia
Ndo maana sipendi kukutana na wanaJF
That is why I love u
Halafu nawe si una limama linakuitaga hensam humu?? Hahah
Huyo mama anafaidi aisee
Dushe analamba na glossaries za 400,000 juu
Hahahmama ushauri!
lara 1 ya huyo mdada ishapitishwa.....ilete!
BTT: Ila humu watu ni washenzyyyy haijalishi hii story ni ya kutunga au true.
Nikikumbuka ile story ya kina Mentor na verossa lao, likaja saga la kina dalaber, mara wengine wakashitakiana madildo bila kusahau kipindi kile yule mkaka alojifanya KE akala pesa za watu kumbe ni lidume hahahahaaaa patamu humu aiseee and panatisha at the same time!
Na wewe mama mtu mzima humu unayetembeaga na dogodogo ipo siku watakuchojoa tu hadharani heheheeee yetu macho sie!
Teh teh teh hivi KOKUTONA kapita hapa jameni?
Njoo upite huku mwaya barabara imewekwa lami!
hahaaaa!! Siitaji mwenzangu
nawza kuwepo labda kwenye shanga ha ha haha
ok. Walimu kazn wanaheshimiana wazwaz. Hawana mazoea yanayopitiliza kama watenda kaz kweny kada zingne.
Kada zngne izo mkeo anapapaswa makalio, anabusiana tu na staff wengne kisa kwa maisha hayo atapata ofa ya lunch, atawekewa petrol kwa vitz yake, atapewa lift na vtu kn ivyo. Staff wanakuwadiana na dau linasomeka...dalali anachukua cha juu. Bei ya pu.ssy ya mkeo inadalaliwa kulingana na quality ya mvuto kwa mkware, pi wanaangali ni ofisi zpi unafanyia kazi na hadhi ya ofisi yako.
Hiyo ndo miradi ya wanawake kada zingne. Mishahara yao hunzisha site zao binafsi na kuwasaidia ndugu zake, akirudi homie amenuna, housegirl atafanya kila kitu, yey akioga tu ni kulala, ukimfuata on bed...oh...siko in mood. Asubh akienda job anawachekea staff na kuanika hips..maandaliz ya mizinga kwa atakayejipendekeza.
Yaan, kuna watu wameoana, lakn ukiwasogelea kwa karibu...unakuta kila cku wako too much serious..ajabu. Huwaoni kutabasamu wala kucheka! Wapo kwa ajili ya kutunza watoto tuu. NIMEWAONA WANA NDOA WA HIVYO KIBAO. Mwanamke snaonesha upendo kwa watoto huku anamsema vibaya mume kwa watoto wakati mume hayupo. Matokeo watoto wanampenda na kuwa karibu zaidi na mama....baba wakimuona wanamuogopa,wanakuwa kimya au wanaondoka wamuachie uwanja na mama yao.! HATAREE. Nawaona.
Wanawake!!! Namna hiyo mnawafanya men wengne waone km mwanamke ni wa ku-mlala tu afu unasepa. NA NDO HAO WANAOBUNI MIKAKATI YA NIMPATE nani na nani na nani kwa sh. ngap....
IZ THAT YOUR SERIOUS BUSSINESS NOW DAYS???