Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Katongozaneni pm bhana hatutaki kuwa mashahidi, siku yakibuma ndio mje kuyaanika hapa hadharani tuwape ushauri.
hahahaaaaqqqq
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katongozaneni pm bhana hatutaki kuwa mashahidi, siku yakibuma ndio mje kuyaanika hapa hadharani tuwape ushauri.
lara 1 ya huyo mdada ishapitishwa.....ilete!
BTT: Ila humu watu ni washenzyyyy haijalishi hii story ni ya kutunga au true.
Nikikumbuka ile story ya kina Mentor na verossa lao, likaja saga la kina dalaber, mara wengine wakashitakiana madildo bila kusahau kipindi kile yule mkaka alojifanya KE akala pesa za watu kumbe ni lidume hahahahaaaa patamu humu aiseee and panatisha at the same time!
Na wewe mama mtu mzima humu unayetembeaga na dogodogo ipo siku watakuchojoa tu hadharani heheheeee yetu macho sie!
Teh teh teh hivi KOKUTONA kapita hapa jameni?
Njoo upite huku mwaya barabara imewekwa lami!
Huyo mama anafaidi aisee
Dushe analamba na glossaries za 400,000 juu
Ndo maana sipendi kukutana na wanaJF
Mambo sako!
Poa mambo vipi,umekuwa kimya,vipi hivi kule WhatsApp group bado linaendelea?
Poa mambo vipi,umekuwa kimya,vipi hivi kule WhatsApp group bado linaendelea?
Yeah..bado tupo! We ndio umenipandishia vioo bhana!
Halafu nawe si una limama linakuitaga hensam humu?? Hahah
Sijakupandishia hata kidogo,hata we umekuwa busy mno
My dearest sis,pls fungua PM yako.Kama utakua interested lakini, kama hutokua poa.
nimekumiss pia tena sanaMie niko sana aise 24/7 siwajua tena jf ni kama home. Nimekumisimo tu pande zile!
Hebu na mm nielekezeni inafungwaje tafadhali
Hata sijui mwaya.Mimi pia nataka niifunge wakati wa Ramadan.Babe atanipigia simu tu,sitaki pm ya mtu.
nimekumiss pia tena sana
acha basi wivu mpenzi,unakumbuka jana ulinifanyaje,kumbe unaumia piaHayaaaaa
acha basi wivu mpenzi,unakumbuka jana ulinifanyaje,kumbe unaumia pia