habari za siku nyingi wakuu.
Natumai wote ni wazima wa afya.
Ningependa kufahamu magonjwa yanayowasumbua watanzania kwa wingi.
Hii ni kwa sababu ninasoma udaktari nje ya tanzania na najiandaa kuwatumikia watanzania,hivyo kujua magonjwa common tanzania inanisaidia kujiandaa vizuri kwa ajili kumwangamiza adui maradhi katika nchi yangu tanzania.
Shukrani......na karibuni kuchangia
Malaria,UTI,HIV(AIDS),BP,Kisukari etcHabari za siku nyingi wakuu.
Natumai wote ni wazima wa afya.
Ningependa kufahamu magonjwa yanayowasumbua watanzania kwa wingi.
Hii ni kwa sababu ninasoma udaktari nje ya Tanzania na najiandaa kuwatumikia watanzania,hivyo kujua magonjwa common Tanzania inanisaidia kujiandaa vizuri kwa ajili kumwangamiza adui maradhi katika nchi yangu Tanzania.
Shukrani......na karibuni kuchangia