sasa mwanao ana Div. 4 a bado unamtafutia chuo chenye sifa kwani yeye ana sifa???
Anyway tuachane na hayo, chuo ni cha serikali na kimesajiliwa hivyo kina sifa.
Halafu kusomea human resource kwa level ya certificate ni kumpotezea muda mtoto.
Asome
1.Records mgt.
2. Secretarial course
3. Library