The Network: Abdul kiungo muhimu kati ya Rostam Aziz na Mukhsin Patel upande mmoja na Sameer Karim Alibhai na W. Salum upande mwingine

The Network: Abdul kiungo muhimu kati ya Rostam Aziz na Mukhsin Patel upande mmoja na Sameer Karim Alibhai na W. Salum upande mwingine

Wewe ni Ex-spy, unaweza kufanya jambo na kuiokoa jamii yote baadala ya kukaa na kupoteza muda wa kudocument matendo mabaya ambayo yanaharibu maisha ya watu kila kukicha na hata kuhatarisha Taifa letu na vizazi vyake.

Siku zinakwenda, damage inadhidi kuwa kubwa, itafika mahala itakuwa uncontrollable, it's better to act now rather than waiting tomorrow.
Taratibu mkuu, kila jambo lina wakati wake.

Usihimize matumizi ya "hasira za mkizi"!'

Documentation has never failed anyone, proper documentation, that is!
 
Tunataka Katiba Mpya itakayoruhusu Raisi kushtakiwa na kuburuzwa Mahakamani kwa Rushwa Upigaji na Wizi wa Mali za Umma.
KATIBA MPYA NI SASA ✌️✌️✌️
WRONG!
Katiba siyo lazima kuliadabisha jizi popote pale. Luxury ya namna hiyo haipo popote duniani.
 
Na ndivyo inavyokuwaga. Nchi inapokosa mwelekeo, watu hupima unafuu kwa ubaya. Yaani mwenye kufanya ubaya wenye nafuu ndiyo anaonekana kama shujaa. Magufuli aliharibu sana na mengi ya mabaya tunayopitia sasa hivi yako related na utawala wake. Suluhisho ni mfumo kubadilishwa tu na preferably tuwe na waziri mkuu mtendaji na rais mwenye majukumu limited, lakini la muhimu ni uhuru wa kuchagua na kuchaguliwa.
Mkuu 'Macho...', ninakusoma sana.
Hili la "muhimu ni uhuru wa kuchagua na kuchaguliwa", ni gumu sana kuliongelea kivingine isipokuwa uzuri wake tu basi!
Nami uamini wangu umekuwa hivyo wakati wote, hadi hivi karibuni nikaanza kuingiwa na wasiwasi juu yake.

Haya mazingira yetu katika hizi nchi za kimaskini hizi, ni bahati bahati tu kupata fursa ya namna hiyo na kuitumia ipasavyo bila ya kuingiliwa kwa njia moja au nyingine; kuingiliwa toka ndani kwa ndani au hata toka nje.

Kwa miaka ya hivi karibuni hasa baada ya kuona CCM ilipo tufikisha, nimejikuta nikitamani tumpate dikteta wa kwelikweli, kama yule wa Singapore enzi zile asiyetaka mchezo kuhusu maswala ya nchi, lakini pia asiyeonea watu kwa sababu za kipumbavu kama Magufuli.

Chia hawana hii demokrasia tunayo imbishwa, lakini mambo yao yanakwenda tu, chini ya chama chao cha Kikomunisti.
Nadhani inafaa tufike mahali tuanze kupanua mawazo yetu kuhusu hizi nyimbo tunazo imbishwa kila mara na hawa wanaotaka tufuate 'values' zao, hata mahali zisipo kuwa na maana kwetu.

Sitakulaumu ukinistaajabu nikitamuka waziwazi hapa kwamba kwa sasa "Naiombea Tanzania, impate 'a Benevolent Dictator.'"
Kwa hali hii iliyopo hapa nchini kwa sasa, silijutii kabisa wazo hili.
 
Huyo alikua msaidizi wa magu
… meaning kama ni lawama apewe magu

You want to glorify one person by you don’t want to associate him with his most important choice he ever made

Magufuli ndiye aliyetupa zawadi ya Samia…. Kuna kitu aliona

Naamini kipo
Magufuli aliwekewa samia na wanaojiita watoto wa mjini
 
Kuna mambo mengi yatafunuka ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na huu mtandao.

Kwanini tunarudishwa kwenye ujinga uleule?

Rostam, you can do better than this! Enzi za JK hukujifunza mzee?

Elewa kuwa kila hatua, kila kinachofanyika - viko well documented. Ni suala la muda tu.
hii imeeditiwa hii ?
 
Kuna mambo mengi yatafunuka ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na huu mtandao.

Kwanini tunarudishwa kwenye ujinga uleule?

Rostam, you can do better than this! Enzi za JK hukujifunza mzee?

Elewa kuwa kila hatua, kila kinachofanyika - viko well documented. Ni suala la muda tu.
Duuh
 
Hakuna, tunahitaji watu wapya, fikra mpya. Ila hawa wa kuwaza 10% kila mradi, tuna safari ndefu sana.
Aliyekuwa anaweza kufanya mabadiliko ya kimfumo alikuwa ni Dr magufuli pekee.....ila bahati mbaya na yeye akaingia Tamaa ya madaraka.

Kupata tena Rais bora itachukua miaka 30 ijayo.

No katiba mpya, uchaguzi wanajishindisha mafisadi tu.
 
Back
Top Bottom