Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Kale kagari ni ka racing...kapo vizuri ila hilo jina hata mimi halinivutiiHahah daah i hope wangepitia huku wakajipatia free consultation(majina ya bureeee) ya magari yao.
Kuna ka-nissan nakapendaga,hua naiona imekaa fresh afu kitu VQ35 na bei reasonable ila sasa jina lake ndo lina nipaga changamoto inaitwa Nissan Fairlady z,hio 'fairlady' (ingawa najua ina definition nyingi ) lkn hua ni kisanga.
Kako poa sana aisee,ma chalii wanakapigia drifting hatariiiii.Kale kagari ni ka racing...kapo vizuri ila hilo jina hata mimi halinivutii
Mkuu, unajua gari kadri linavyokuwa sophisticated saana na umeme, linakuwa less reliable, na uwezo wa kudumu muda mrefu unapungua. Hata resale value yake kwenye used markets inashuka. Range Rover ikiwa mpya inazidi Defender bei mara mbili au zaidi. Ila kwenye used market Defender ina bei kubwa hata 3 times ya Range Rover. Leo hii ukiangalia Defender ya 1990s ina bei kubwa kuliko Range Rover ya 2000s. Wajuzi wa Range Rovers wanakwambia huwa wanazitumia zikiwa kwenye warrant tu. By the time zimetoka kwenye warrant wanaziuza, maana maintenance cost inakuwa kubwa mno, kila mara linazingua, na cost ya repair inakuwa kubwa. Ila kina Defender wa zamani ambao ni very mechanical, bado wanatesa tu.
Saana. Maana its obvious mnunuzi wa kwanza ni tajiri, na anaweza kumudu gharama, na linakuwa bado kwenye warrant. Sasa linapokuwa used, maana yake tunanunua watu wa kawaida ambao kipato ni cha kawaida,na hailiko kwenye warrant, parts ni bei balaa, mafundi wa kitaa hawaliwezi mpaka ulipeleke kwa dealer. Unafikiri bei itabaki juu kweli?Hizi sophisications zimeifanya hata depreciation za bmw 7 series kua ni balaa,resale value yake ni aibu.
tena kwenye hili hata Lady Rover ingependeza zaidi!Hahah daah i hope wangepitia huku wakajipatia free consultation(majina ya bureeee) ya magari yao.
Kuna ka-nissan nakapendaga,hua naiona imekaa fresh afu kitu VQ35 na bei reasonable ila sasa jina lake ndo lina nipaga changamoto inaitwa Nissan Fairlady z,hio 'fairlady' (ingawa najua ina definition nyingi ) lkn hua ni kisanga.
Hahah naomba tupitishe hilo jina LADY ROVER ndg mjumbe.tena kwenye hili hata Lady Rover ingependeza zaidi!
Systems za Umeme zinawork kwa efficiency kubwa kuliko system za mechanical. Ndo maana makampuni mengi wanazipiga chini saiv...Gari almost zote mpya zina umeme na teknolojia kubwa sana.
Nadhani ndio maana hata ile ya mwanzo wameamua kuachana nayo.
G Wagon wamebaki na muundo uleule ila humo ndani wamejaza umeme wa kufa mtu.
Hapo land rover wameshachemka.....
gari za kazi tutabakiwa tu na land cruiser na Patrol...over
Nimeangalia hapo nikaona Automatic Transmission hamu yote ikaisha
Sijui kwanini napenda gari za Manual Transmission
Naam hapo ndipo watajua the power of simplicity mkuu,hicho chuma hakina mambo mengi chenyewe kinagonga kazi mwanzo mwisho.Saana. Maana its obvious mnunuzi wa kwanza ni tajiri, na anaweza kumudu gharama, na linakuwa bado kwenye warrant. Sasa linapokuwa used, maana yake tunanunua watu wa kawaida ambao kipato ni cha kawaida,na hailiko kwenye warrant, parts ni bei balaa, mafundi wa kitaa hawaliwezi mpaka ulipeleke kwa dealer. Unafikiri bei itabaki juu kweli?
Ila angalia mnyama wa 91 na kilometa kibao ila cheki bei yake ilivyo
View attachment 1206164
Uwezekano huo ni mkubwa sana....sasa hivi umeme mwingi ili kubana mafuta lakini kuhakikisha nguvu ya kutosha ilihali mafuta yanayotumika ni kidogo...
Pia suala la mazingira
System za manual nazo zitakuja kufutwa ni swala la muda tu...
Inawezekana Land cruiser na Patrol kupotea lakini si chini ya Miaka 30 ijayo...Zitakuja kupotea... ni swala la muda tu
Inawezekana Land cruiser na Patrol kupotea lakini si chini ya Miaka 30 ijayo...
Mimi na wewe na yule tutakuwa wastaafu wakati huo
Mkuu Freelander imetutesa . Propeller shaft tu ilileta shida na hazipatikani. Imebidi ki cancel miguu ya nyuma na sasa tunaitumia kwa kuvutia mbele . Magari ya land rover ni mazuri tatizo spare mpaka uagize . Kutembea yanatembea tena ni mababe barabarani. Shida ikiua spare partsMuulize alokuwa na Frelander ya mwaka gani?
CX othiambo cairo
Ooh .ok....sijazungumzia LC au Nissan Patrol... nmezungumzia Landrover defender 110
HayaTengenezeni na nyie defenders zenu za kitanganyika.
Sio kulia lia tu ooh gari baya liko softi!
Viwanda vyenu vya kitanganyika vinazalisha maembe tu?
wanaelewa unafkiri n sisi tu tunalalamika? nakwambia watarudi kwenye mnyama ACHA MUDA UTAONGEAMkuu hii kitu ni funika aise. I wish ungewatumia hawa jamaa wakaelewa tunamaanisha nini tunapolalamika.
Defenders imekua gari ya akina mama ya kwenda sokoni na saloon