Nadhani kwa gari ngumu, ni LC 70 series pekee ndo ina body ngumu.Haiwezi kufika hiyo miaka 50. G wagon vile bado ime retain its rugged structure from the original car, ni rahisi kuwa customized na kutumika kwa lengo lake ya mwanzo ambalo ni basically gari la kivita. Maana hizo features nyingi za umeme ni optional, sio standard kama kwenye Defender. Ila hii Defender mmh! Bumper lake tu ukigonga hata mbwa unaliacha hapo.
Kiukweli lile dude ni gumu balaa.Nadhani kwa gari ngumu, ni LC 70 series pekee ndo ina body ngumu.
Gari nyingi sasa zina body laini sana.
wanatuigizia hawa jamaa..sasa hiyo gari kuipitisha kwenye matope ndio kutafanya tuone imepita rough road? wanajua barabara za rough hawa au wanaigiza?
hiyo gari wanaipitisha kwenye maji as if wanatangaza samsung s10 water proof..Bado hiyo si landrover aseee...
HIVI kweli unaweza linganisha huyu mnyama na hako ka baby face kapya ka kwendea sea clief
View attachment 1205861View attachment 1205862View attachment 1205863
Hao ndio wanyama ila huyu mpya walietuletea...Mtoto wa nnje ya ndoa hata hajaeleweka aseeeView attachment 1205864View attachment 1205865
tHIS IS WHAT I MEANT yaniiiiView attachment 1206488
😀 😀 😀 Ndoki a.k.a Gobole... watu wa Kwiro High School ..huo ndio ulikuwa mzigo wa Kutoka Ifodha moja....Inapanda ile Ndororo taratibu huku Dereva kaweka kiwiko kwa nje.....😀😀😀😀
Kweli mabadiliko haya...ndio mahitaji ya dunia lakini tusiwalaumu saana.tHIS IS WHAT I MEANT yaniiii
mhhhhh bro.....dah hapa mimi naona tulipe muda kidogo maana imetoka hata mwezi halijamaliza so tuwe na subira mi naona wengi mnaliogopa kisa ile sura.....wengi wanadhani ni la ki mayai mayai hivi hapana .......ile ni land Rover tena defender (hardcore offroader) sio disco wala range so lazima iwe ngumu......... sema imedevelop kimuonekano ndo maana inaogopeka ila mi naipa thumbs up kabisa kama ulimsikiliza hammond vizuri anasema the thing can pass a metre of deep water na inajua yenyew kina cha maji inapopita which is a good thing for off-roading mengi yameongelewa nikiandika simalizi so hayo nadhani ushaprove.....ila kuhusu favouring kwa hammond mhhhhh inawezekana.......maana yule ni mbritish na landrover nao wa brit so labda ameipump home brand.......Reviewers karibu wote wa UK wamelisifia. Ila ukiangalia comments za wadau huko ndio utajua. Kuna mmoja amejiuliza Hammond amelipwa kiasi gani mpaka kulisifia hilo gari?
dah umeongea point kabisa mkuu!Mlitaka iweje?
Hata G wagon ya sasa si ya miaka ya 70.
Ya sasa imejazwa umeme mwingi na teknolojia za kufa mtu.
Ambacho hakijabadilika sana ni body structure.
Defender wameamua kubadili kulingana na teknolojia iliopo.
Miaka 50 ijayo, defender ya sasa itaonekana lulu kama mnavyoilili iliopita
Yes, wataukumbuka tu. Kama Toyota walimkumba mnyama FJ40, na hawa watarudi tu.wanaelewa unafkiri n sisi tu tunalalamika? nakwambia watarudi kwenye mnyama ACHA MUDA UTAONGEA
Yaani concept ya offroading ya wazungu ni tofauti saana na ya kwetu. Wao wanaifanya for fun, sisi ni maisha yetu ya kila siku. Fikiria hizo taa za mbele, unaweza kuzifungia ziwe wavu kama za FFU ili zisipigwe mawe kwenye vurugu? Au kulibebesha mkaa kama mdau mmoja alivyopiga picha? Sisesi kama haliwezi kubeba, point yangu ni kwamba it is too good looking kufanya kazi za namna hiyo. Ila kama ulivyosema, tulipe muda.mhhhhh bro.....dah hapa mimi naona tulipe muda kidogo maana imetoka hata mwezi halijamaliza so tuwe na subira mi naona wengi mnaliogopa kisa ile sura.....wengi wanadhani ni la ki mayai mayai hivi hapana .......ile ni land Rover tena defender (hardcore offroader) sio disco wala range so lazima iwe ngumu......... sema imedevelop kimuonekano ndo maana inaogopeka ila mi naipa thumbs up kabisa kama ulimsikiliza hammond vizuri anasema the thing can pass a metre of deep water na inajua yenyew kina cha maji inapopita which is a good thing for off-roading mengi yameongelewa nikiandika simalizi so hayo nadhani ushaprove.....ila kuhusu favouring kwa hammond mhhhhh inawezekana.......maana yule ni mbritish na landrover nao wa brit so labda ameipump home brand.......
Nimependa tu nilipoona manual gear 💪🏼Hii ndo Defender bana......ukitaka kazi inapiga.....ukitaka statehe unapata [emoji23][emoji23]View attachment 1208180View attachment 1208181View attachment 1208182View attachment 1208183View attachment 1208184View attachment 1208185View attachment 1208186