mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Aaarh wapi mkuu hata jeshi la mgambo haliwezi kutumia gari hili,ki ukweli wame-mess up big time.
Hehehee! Hawa jamaa wamezingua. Hivi kweli hili gani litatumika tena jeshini? Wamekosea saana.