Malengo Jr
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 287
- 99
Itachukua muda kupata recognition hasa kutoka kwa graduates wa MLIMANI.
Always mwanzo ni mgumu!
SAUT, three years LLB to compete with udsm four years LLB. tuache utani jamani, hivi vyuo vya mfukoni wakati mwingine ni vodafasta tu.
cjakuelewa,naomba unielweshe.aona kma ujajbu jbu la kuelewekafafanua.
....INAONEKANA U DONT UNDERSTAND WHAT U R SAYING, SCHOOL OF LAW (AND NOT NOT SCHOOL OF LAWS) HIYO NI MOJA, PILI, WHEN YOU ARE SAYING "SCHOOL OF LAW" IT IS EQUIVALENT TO SAY FACULTY
waambie kaka, unajua waliosoma law nje ya UDSM hawawezi kutofautisha "law school" na "school of law", na sasa walivyo jaa wengi mtaaani?! Legal profession is in total jeopardy...