The New School of Laws in Tanzania

The New School of Laws in Tanzania

Wamezoea kubisha 2 hao, hata uwaeleweshe vp wanajua UDSM ndio ALPHA na OMEGA.
 
Law school tanzania ipo moja tu,hata hiyo UDSM haina law school
 
...watu wamekariri, i wish huyu anayesema SAUT ni voda fasta angeuliza watu wanaosoma pale SAUT khs elimu ya pale ndio angejua, kwa taarifa yake UDSM haaifui dafu kwa SAUT kwani hata kwenye moot court competition zilizifanyika kimataifa kama kule Washington DC, Nigeria na kwingineko ni SAUT pekee ndio iliyoibuka na ushindi na kuiwakilisha Tz, anayepinga hilo aseme.

tutakutana law school,pale ndo anajulikana nani yuko fiti,kushinda moot court hakutokani na chuo isipokuwa ni candidates wenyewe tu, mlishinda kipindi kile kutokana na yule jamaa aliyekuwa anawakilisha alikuwa yuko vizuri kwenye lugha,lakini msithubutu kujilinganisha na udsm mtasubiri sana,kafanye utafiti law school na firms uone ubovu wa product zenu
 
Wamezoea kubisha 2 hao, hata uwaeleweshe vp wanajua UDSM ndio ALPHA na OMEGA.

Hilo mbona halina ubishi,udsm wanajisifia sio kwa maneno tu bali vitendo pia,products za udsm are the best in market....dah usiombe kufanya kazi na watu wa vyuo hivi vya uchochoroni,arguements zero,english zero....usharobaro mwingi,mushukuru mungu baba na ndugu zenu wana firms mjini hapa ndio maana mnapata sehemu za kujistiri,if firms zingekua zinachukua watu on competency basis a lot of you guys mngeachwa!
 
....hiyo sio kweli, kwanza GPA ya SAUT na UDSM ni tofauti kabisa, ya SAUT ipo juu kwa maana ya kwamba, Udsm C= 41 wakati SAUT C= 50, hiyo ni moja, pili SAUT huwa wanapolicy ya kutengeneza wahadhiri wa kwao wenyewe anayefaulu vizuri wanamsomesha then wanam recruit

Wana range kubwa ya 50 ila huwezi compare kati ya hivi vyuo viwili hata ufanya je
 
....acha majisifu yasiyokuwa na msingi, kama hujaenda huko kwa taarifa yako Law School kuna product nyingi za SAUT, na tumeshapita huko, sasa we kaa usubirie jina la UDSM ndo likubebe, pale hakuna cha UDSM, MZUMBE wala SAUT
 
....acha majisifu yasiyokuwa na msingi, kama hujaenda huko kwa taarifa yako Law School kuna product nyingi za SAUT, na tumeshapita huko, sasa we kaa usubirie jina la UDSM ndo likubebe, pale hakuna cha UDSM, MZUMBE wala SAUT



Mueleweshe huyu maana naona bado ana mawazo ya mwaka 47.
 
always UDSM is the best university in Tanzania, wanaomaliza vyuo vingine mnafaulu just coz ua universities wanajali pesa ila product mbovu cjawahi ona, hamna lolote nshawahi kuona exam paper ya chuo flani faculty of law wanauliza maswali kama o-level, hamna lolote ndo maana mnashindwa kupata admission ya kuja UDSM School of law kutokana na ufaulu mdogo cut of point mbovu
 
Mimi Mhandisi product ya Udsm sijasoma makitu yetu haya angalau naona Udsm wanafanya vizuri kwenye Law...Nilikuwa nauliza vipi Zanzibar University Product zao kwenye Law maana nilipata kutembelea huko
 
kitu cha kuelewa na ambacho ni cha kweli, hata SAUT palepale, ukitaka kupata kazi ya kufundisha, wanataka kama umesoma udsm uje walau na GPA si chini ya 3.0, ila kama umesoma vyuo vingine kama SAUT yenyewe, tumaini, mzumbe etc, wanataka GPA iwe si chini ya 3.5, wao wenyewe wanajijua. kuna mdogo wangu anafundisha hapo alisoma udsm, na ni mimi nilimsaidia kupata kazi hapo.
Hakunaga kitu kama hicho., post ya Tutorial Assistant ina option 3 kutegemea na Chuo either 3.5 GPA or 3.8 GPA or 4.0 GPA bila kutegemea umesoma Chuo gani. About SAUT post za Tutorial Assistant huwa hawatangazi, wanachukuaga wanafunzi wao ambao wamefanya vizuri sana. Wako very selective hasa hasa kwenye tabia, kuna vitu vyao wanaviangalia kwa umakini kabla ya kukuchukua kuwa Tutorial Assistant
 
always UDSM is the best university in Tanzania, wanaomaliza vyuo vingine mnafaulu just coz ua universities wanajali pesa ila product mbovu cjawahi ona, hamna lolote nshawahi kuona exam paper ya chuo flani faculty of law wanauliza maswali kama o-level, hamna lolote ndo maana mnashindwa kupata admission ya kuja UDSM School of law kutokana na ufaulu mdogo cut of point mbovu
...it is a big shame, for urself and UD kama kweli wewe ni product ya UD, maana ulichokiandika i believe hata hukijui, labda nikuulize unamaanisha nini kusema UDSM school of law? na je unajua sifa ya mwanafunzi kwenda LST? unaongea ugoro tu na inaoneka kama ndo upo 1st year
 
SAUT, three years LLB to compete with udsm four years LLB. tuache utani jamani, hivi vyuo vya mfukoni wakati mwingine ni vodafasta tu.
haya mwana udsm tujuze vp umekuwa tutorial !!!
kuna mijitu inaona ukisoma udsm inapata bachelor degree tofauti na vyuo vingine
 
haya mwana udsm tujuze vp umekuwa tutorial !!!
kuna mijitu inaona ukisoma udsm inapata bachelor degree tofauti na vyuo vingine
mi nimesoma sheria mkuu, nipoteze muda wangu kuwa tutorial kwasababu gani? badala ya kufanya mambo ya maana, niwe nashinda na wanafunzi, mara kusahihisa makaratasi, mara kusimamia semina, kwasababu gani? hizo tumewaachia ninyi wa saut na tumaini.
 
...it is a big shame, for urself and UD kama kweli wewe ni product ya UD, maana ulichokiandika i believe hata hukijui, labda nikuulize unamaanisha nini kusema UDSM school of law? na je unajua sifa ya mwanafunzi kwenda LST? unaongea ugoro tu na inaoneka kama ndo upo 1st year
anahitaji kuleta maelezo kidogo. however, unawezaje kulinganisha degree ya sheria ya udsm ya miaka 4, na degree ya sheria ya saut au tumaini etc ya miaka mitatu, na mkimaliza wote mnaenda law school moja, hivi nani atakuwa kidogo yuko vizuri kuliko mwingine na yupi hapo amekimbizwa na lulimbikizwa mambo mengi pamoja alimradi tu amalize haraka hata kama hajaelewa vizuri?
 
anahitaji kuleta maelezo kidogo. however, unawezaje kulinganisha degree ya sheria ya udsm ya miaka 4, na degree ya sheria ya saut au tumaini etc ya miaka mitatu, na mkimaliza wote mnaenda law school moja, hivi nani atakuwa kidogo yuko vizuri kuliko mwingine na yupi hapo amekimbizwa na lulimbikizwa mambo mengi pamoja alimradi tu amalize haraka hata kama hajaelewa vizuri?
SAUT hawajawahi kuwa na Degree ya sheria ya miaka mitatu, so anazungumza kitu asichokijua, Mzumbe, Tumaini ndo wana Degree ya miaka mitatu, SAUT degree yao ni 4yrs
 
Faculty of Law and School of Law are the same thing,there is no difference between them,it is a mere nomenclature.
Law school of Tanzania is another entity different from schools of law.
FYI hii trend ya kubadilisha majina ya vitivo kuwa shule ni matokeo tu ya tension kati ya american system na british sytem. While british normally use FACULTY americans use SCHOOLS to indicate the same thing. Mfano mdogo ni use of gas in american english and petroleum in british to denote the same thing.
Asante nmekuelewa
 
Back
Top Bottom