The next Tanzania president 2025 should be Kassim Majaliwa

The next Tanzania president 2025 should be Kassim Majaliwa

Lete Cv ya Majaliwa acha ngonjera. Raisi anaandaliwa. Raisi anatakiwa awe na uwezo mkubwa wa maarifa ya kujifunza shuleni tena kwenye shule bora si ilimradi shule, pia Raisi anatakiwa awe na elimu pana ya kujifunza kwa kuona.

Pia Raisi anatakiwa awe na exposure kubwa ya Ulimwengu, siasa zake. Na ajua madhara ya siasa zake kwa nchi na pia awe mpana wa fikra.

Naona hana elimu ya vyuo bora ulimwengunia hana exposure kubwa duniani amefungwa na misingi ya siasa za kijamaa

Kusoma harvad siyo ndo kuwa raisi bora mzee au kusoma shule zinazoshika no moja hatutaki mtu anaefaulu mitiani darasani tunataka mtu anaepiga kazi atakae tutoa from point A kwenda B argument yako naona ni ya kitoto sana
 
Hatoboi 2025 ni Raisi Samiah Suluhu Hassan, hata Hayati Magufuli angekuwepo asingetoboa hiyo 2025 maana ana makundi tayari kitu ambacho wazee wa maamuzi hawakubaliana nacho
 
Unachowaza wewe ndo kinachotakiwa kuwa kabisa,Ila katika system sivo ilivo.
 
Waziri mkuu ambaye,Baadaye aliupata uraisi ni JK nyerere tuu.Hivyo kwa Sasa hapa Tanzania(bara)mtu akishakuwa waziri mkuu uraisi asahau.Natoa mifano ya mawaziri wakuu walioutafuta uraisi na kuukosa:
1.Edward N Lowassa.
2.Salim A Salim.
3.John S Malecela.
4.Mizengo K Pinda.
5.e tc,nk,nk
Hivyo Basi kwa utamaduni huo ni kwamba mtu akiwa waziri mkuu ni nafasi kubwa Sana,anapogombea uraisi hana jipya la kuwatendea wa TZ Kwani Alisha kuwa juu.
Tatizo ni nini? Wanaofia kuwalipa mafao mawili(urais na uwaziri mkuu) wakiachia madaraka? Ni nini hasa hii set up inamaanisha.
 
As per his working experience and seriousness and so that we can maintain or become middle upper income country our next president should be Kassim Majaliwa.

Let us discuss
Ama kweli bongo URAIS ni RAHISI
 
Waziri mkuu ambaye,Baadaye aliupata uraisi ni JK nyerere tuu.Hivyo kwa Sasa hapa Tanzania(bara)mtu akishakuwa waziri mkuu uraisi asahau.Natoa mifano ya mawaziri wakuu walioutafuta uraisi na kuukosa:
1.Edward N Lowassa.
2.Salim A Salim.
3.John S Malecela.
4.Mizengo K Pinda.
5.e tc,nk,nk
Hivyo Basi kwa utamaduni huo ni kwamba mtu akiwa waziri mkuu ni nafasi kubwa Sana,anapogombea uraisi hana jipya la kuwatendea wa TZ Kwani Alisha kuwa juu.
.Joseph Warioba
.Cleopa Msuya
.Fredrick Sumaye
Wote hao waliutaka wakaukosa
 
Haitokaaa itokeee waziri mkuu awe rais tena baada ya j.k. nyerere.

Kwanza huyo jamaa yenu ameshapotezwa. Akajifikirie mradi wa kufanya tu kama pinda..

Na sitamani asilani abadani awe rais

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Wamatumbi mna shida sana.
Uzi wa 'Kikristo' mnachangia Kiswazi🤪
 
Back
Top Bottom