The number of registered engineers in Kenya is five times more than the number of registered engineers in Tanzania

The number of registered engineers in Kenya is five times more than the number of registered engineers in Tanzania

Spana alizokazwa mfungua uzi ni balaa [emoji23][emoji23][emoji23]

Wabongo mnapiga spana sana.

kuna moja inaitwa wheel spanner ndio imetumika hapa[emoji23][emoji23][emoji23].

hasara yake ni kwamba ukitumia kufunga bolt dhaifu unatafuna njia zote,ndicho kimetokea hapa.
watu hawakujua mleta mada anatania[emoji23][emoji23][emoji23].
 
kuna moja inaitwa wheel spanner ndio imetumika hapa[emoji23][emoji23][emoji23].

hasara yake ni kwamba ukitumia kufunga bolt dhaifu unatafuna njia zote,ndicho kimetokea hapa.
watu hawakujua mleta mada anatania[emoji23][emoji23][emoji23].
Hizo spana zinavunja haki za binadamu kwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na bado Kenya inaongoza kwa majengo ya ghorofa kuporomoka kwa sababu ya wahandisi uchwara wenye vyeti fake !
As of 2019, Kenya had a total of 2,100 registered engineers while Tanzania had only 470 registered engineers as of 2020. The links below shows the total number of registered engineers in the two countries, the link contains their names, addresses, gender, discipline and registration numbers.



MY TAKE. Tanzania still have a long way to reach Kenya's level.

joto la jiwe, Geza Ulole
 
Back
Top Bottom