The number of registered engineers in Kenya is five times more than the number of registered engineers in Tanzania

Spana alizokazwa mfungua uzi ni balaa [emoji23][emoji23][emoji23]

Wabongo mnapiga spana sana.

kuna moja inaitwa wheel spanner ndio imetumika hapa[emoji23][emoji23][emoji23].

hasara yake ni kwamba ukitumia kufunga bolt dhaifu unatafuna njia zote,ndicho kimetokea hapa.
watu hawakujua mleta mada anatania[emoji23][emoji23][emoji23].
 
kuna moja inaitwa wheel spanner ndio imetumika hapa[emoji23][emoji23][emoji23].

hasara yake ni kwamba ukitumia kufunga bolt dhaifu unatafuna njia zote,ndicho kimetokea hapa.
watu hawakujua mleta mada anatania[emoji23][emoji23][emoji23].
Hizo spana zinavunja haki za binadamu kwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na bado Kenya inaongoza kwa majengo ya ghorofa kuporomoka kwa sababu ya wahandisi uchwara wenye vyeti fake !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…