Azam FC TV wanaonyesha kombe la Charity Cup 2012 (Kombe la Hisani) walilolipata hivi karibuni nchini DRC- Congo Kinshasa baada ya mwaliko maalum na kuibuka mabingwa wa Charity Cup.
Viongozi wa Azam FC, Katibu Mkuu wa Nassoro Idrissa na Meneja wa Timu 'jemedari' Saidi wakitupa taarifa za kina kuhusu ziara yao DRC- Congo na mechi zao dhini ya Dragon Fc, Real Kinshasa, Sharks Fc ( imejikamilisha kwa miundo mbinu kama Azam Fc) n.k za jijini Kinshasa. Mwaliko huo ulipatikana baada ya timu ya Vita ya DRC- Congo iliyoshiriki ktk kombe la Kagame Cup pamoja na viongozi wa shirikisho cha soka Congo DRC kuvutiwa na soka la Azam Fc, endelea kupata habari zaidi....:
video kwa hisani ya Antony John AZAM FC TV EPs 13 wa youtube
Viongozi wa Azam FC, Katibu Mkuu wa Nassoro Idrissa na Meneja wa Timu 'jemedari' Saidi wakitupa taarifa za kina kuhusu ziara yao DRC- Congo na mechi zao dhini ya Dragon Fc, Real Kinshasa, Sharks Fc ( imejikamilisha kwa miundo mbinu kama Azam Fc) n.k za jijini Kinshasa. Mwaliko huo ulipatikana baada ya timu ya Vita ya DRC- Congo iliyoshiriki ktk kombe la Kagame Cup pamoja na viongozi wa shirikisho cha soka Congo DRC kuvutiwa na soka la Azam Fc, endelea kupata habari zaidi....:
Last edited by a moderator: