Huu mtindo wa kununua marefa na wachezaji wa team pinzani katika mechi za ligi yetu ya ndani zitatufanya tuendelee kuwa vichekesho kwenye michuano ya kimataifa mpaka hapo tutakapobadilika
Huu mtindo wa kununua marefa
na wachezaji wa team pinzani katika mechi za ligi yetu ya ndani
zitatufanya tuendelee kuwa vichekesho kwenye michuano ya kimataifa mpaka
hapo tutakapobadilika
Wanashinda 4 mbele ya team ngumu na kupata ushindi wa taabu(washukuru magoli mawili ya dk za lala salama) kwa team chovu inayoshiriki mashindano ya kimataifa kwa mara kwanza,hii binafsi imegoma kabisa kuniingia akilini
Wanashinda 4 mbele ya team ngumu na kupata ushindi wa taabu(washukuru magoli mawili ya dk za lala salama) kwa team chovu inayoshiriki mashindano ya kimataifa kwa mara kwanza,hii binafsi imegoma kabisa kuniingia akilini
kaka mtibwa tunaijua hawa wa sudan hatuwajui ndio maana ikawa hivyo na kingine kocha alipagawa baada ya umony na balou kuumia ndio akawa hajui nini afanye ila huyu Babi ingawa kashinda goli la kwanza ni mzito sana ila bocco alipo ingia ndio kabadili mchezo kabisa..
Azam FC TV Show ktk Channel 10
Uongozi wa Azam FC unaelezea mafanikio ya siku hizi za karibuni kupitia kwa Meneja Msaidizi Kalimangonga Ongala na lengo ni kunyakua ubingwa wa ligi ya Tanzania Bara 2012/2013 na mahojiano maalum na mchezaji John Bocco a.k.a Adebayor:
Source: AZAM TV EPS 18 Antony John wa youtube
TASWIRA KAMILI YA UWANJA WA TIMU YA AZAM FC ULIOPO ENEO LA CHAMAZI WILAYANI TEMEKE, DAR-ES- SALAAM, TANZANIA
pitch uwanja
bwawa la kuogelea
gym
Na miundo-mbinu mingine inayosapoti complex za viwanja vya michezo