The Official Azam FC Thread


ni vyema wasicheze kuondoa lawama endapo Azam watafungwa
 
Leo ligi kuu

azam 2 - 2 simba

flop of the match Luckson Kakolaki
 
Ndetichia,
Asante kwa kutuwekea kumbukumbu maana safari hii timu kongwe mpaka wanaunga 'chama moja' kushangilia dhini ya Azam FC lazima wanaona 'ukiritimba' wao ktk soka la Tanzania unaanza kuyoyoma kwa kasi.
 
Kocha wa Azam FC na sisi wapenzi wa Azam Fc tunasema kama ni mapato mlangoni Azam FC ikicheza dhini ya timu kongwe, mapato ni makubwa tu sasa hofu ya marefa na wadau wengine kuwa hamasa ya kuhudhuria uwanjani watazamaji itapungua siyo kweli bali imeongezeka.

Hivyo wakubali wasikubali Azam FC imechochea kiwango cha ushindani ndani ya uwanja kuwa juu hivyo wasifanye hujuma timu ambazo siyo kongwe kujipenyeza na kuwa kuwa katika msimamo wa ligi ya soka Tanzania.
 

kweli kabisa mkuu tena huwa wanazikandamiza kimakusudi..
 
Kesho gemu yetu na As Far rabbat itaoneshwa star tv stay tuned ni kuanzia saa 10 jioni kesho jumamosi 20/04/13
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…