The Official Azam FC Thread

Leo ushindi ni lazima pale national stadium. Esta mojunto todo o lado.
 
Ngao ya Jamii

Full Time: Yanga SC 1 - 0 Azam FC
 
Kesho Azam FC wanakaribishwa Manungu na Mtibwa sukari..
 

Azam FC 2-0 Rhino Rangers Magoli ya Azam FC leo yamefungwa na Gaudence Mwaikimba na Abdallah Seif Karihe
 
FT kagera 1 - 1 azam fc themi felix na mcha khamis viali
 
Full Time: Azam FC 3 - 2 Yanga SC J Bocco, K Tchetche na Mcha Khamis na wengine ni D Kavumbagu na S Msuva
 

Azam FC kesho itashuka kwenye uwanja wake wa Chamazi kukwaana na Mgambo JKT, Fuatilia mechi hii popote ulipo kupitia TBC1, Wapigapicha na wazalishaji ni ya Azam TV....
sosi: azamfc fans page fb
 

Azam FC kesho itashuka kwenye uwanja wake wa Chamazi kukwaana na Mgambo JKT, Fuatilia mechi hii popote ulipo kupitia TBC1, Wapigapicha na wazalishaji ni ya Azam TV....
sosi: azamfc fans page fb

Naombea hiyo mechi iishe kwa draw.
 
Azam imefunikwa na Mbeya City mwaka huu........
Mbeya city ndo habari ya mujini kwasasa!
 
Azam imefunikwa na Mbeya City mwaka huu........
Mbeya city ndo habari ya mujini kwasasa!
ndio timu ambazo zinakuja kuleta upinzani ligi kuu ya tz... so sio mbaya kikubwa mafanikio tu..
 
FT JKT Oljoro 0 - 1 Azam FC Mcha Khamis Vialli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…