ft ferro 2 - 0 azam
agg 2 - 1
niuzembe wetu hapa kushinda nyumba goli moja ili hali hujui huko uendako..
tutaonana msimu ujao...
ushindi finyu nyumbani usitegemee kushinda ugenini na hili wanalijua sema wanajifanya hawajui bora tumskilizie yanga atafika wapi..
ushindi finyu nyumbani usitegemee kushinda ugenini na hili wanalijua sema wanajifanya hawajui bora tumskilizie yanga atafika wapi..
Sisi Yanga, historia haitupi nafasi hata ya 1% kusonga mbele; kama Goliathi aliuawa na kijana Daudi vivyo hivyo tunasubiri miujiza kuwatoa hao Waarabu. Mungu ibariki Yanga Afrika isonge mbele.
Inategemea na timu Mnyama mkali wa porini alishabitisha kwamba unaweza kufanya vibaya nyumbani na ukafanya vizuri ugenini au kinyume chake, rejea mambo ya Mfulira wanderers na Stella Abidjan, nadhani utakuwa umenielewa. Mozambique ni wazuri sio sawa na Wacomoro. Poleni sana washabiki wa Azam.
azam out kwa 2 - 1
Hapo umenena maana bahati nayo kwenye mpira hutokea sana, inawezekana siku hiyo bahati ya ushindi ikawa upande wenu kama ilivyoangukia kwa Simba kipindi kile wanawatoa Zamalek, Inabidi wachezaji wenu wajipange na wakifiga golini waache uzembe la sivyo mtajuta kuwafahamu hao wamisri.
Nakubaliana nawe 100%. Unakumbuka SSC ilivyotolewa na Textile de Pungu ya Msumbiji?
tushapoa sana mkuu..Inategemea na timu Mnyama mkali wa porini alishabitisha kwamba unaweza kufanya vibaya nyumbani na ukafanya vizuri ugenini au kinyume chake, rejea mambo ya Mfulira wanderers na Stella Abidjan, nadhani utakuwa umenielewa. Mozambique ni wazuri sio sawa na Wacomoro. Poleni sana washabiki wa Azam.
Mkuu kwa ujumla Msumbiji ni kipimo kizuri kwa timu zetu, kuanzia vilabu hadi timu ya Taifa with exception to female football team maana walitolewa kwa jumla ya magoli 15 labda na Azam walienda na reference ya matokeo ya timu ya wanawake.
Sisi Yanga, historia haitupi nafasi hata ya 1% kusonga mbel; kama Goliathi aliuawa na kijana Daudi vivyo hivyo tunasubiri miujiza kuwatoa hao Waarabu. Mungu ibariki Yanga Afrika isonge mbele.