The Official NBA Thread

Haiya 12pts game, Wenger upo?

Haiwezekani kumkosa haywood ndio matokeo yawe hivi.jamaa wamesinzia kama hawako kwao.


Na hao fans wa dallas hapo uwanjani utasema fans wetu wa emirates,kimyaaaa hamna hata kelel za kuwwapa moyo wwachezaji.
 
Dallas wanatania sana.

Bado kuna muda mrefu sana AW, usishangae kibao kikigeuka hasa ukitilia maanani Dallas wako nyumbani. Miami inabidi wajitahidi kuongeza hii gap hata kufikia 20 kama wataweza ili kujiweka katika nafasi nzuri.
 
Nowitzki inabidi ajaribu kubeba timu kipindi cha pili.naona miami wamefanikiwa kumkaba.
 
Leo Dallas hamna kitu. Hawachezi kama wanataka kushinda.
 
Haya Dallas mshindwe wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…