The Official NBA Thread

ila hii game ya heat na boston....boston wan bahati sana maana ingekwua wade ndio kobe pale mwishoni wangelia.....ile shoot...kode hakuachi...haya
 
Kanigini, mie napata zote West na East ESPN UK. OKC wakishinda hapa kwa San antonio basi wapo Final mie nilijuwa San Antonio ndio watafika Final ila dalili zimekimbia.
 
As a Lakers Fan Yo-Yo ni kweli Kobe hakuwachi Second ile ya Wade alio shoot sema Kobe mroho anauzi muda mwengine ila simlaumu hana wapiga 3 kwenye timu Lakers. Timu zinafika Final sababu ya 3 na Bench.
 
THANKS OKC..... someone said SAS are unbeatable at home
 


yuuu noo wora am seyiiing
 
Still SAS can beat OKC at home. The series is not yet over.
 
Still SAS can beat OKC at home. The series is not yet over.
ni kweli lakini sio kirahisi namna hiyo.....SAS kwa sasa MANU ndio ngome yao.....msumbufu tony hii series haijamuendea vizuri......
 
ni kweli lakini sio kirahisi namna hiyo.....SAS kwa sasa MANU ndio ngome yao.....msumbufu tony hii series haijamuendea vizuri......

Arifu, SAS hiyo game 6 watacheza vibaya mno. Kwani wanaelewa wakipoteza hiyo,ndiyo mwisho wao wa kuelekea final. Popovich anataka sana ubingwa mwingine.

Ingawa ni kweli haitokuwa rahisi kihivyo,kwani OKC nao watataka kuweka franchise history. Ila wakiwa carried away na hiyo situation,itawa backfire.

Ila itakuwa bonge la game nakwambia.
 
Game 5 ilikuwa nzuri Oklahoma City walicheza vizuri sana hasa Kevin Durant kafunga point nyingi.
 
Game 5 ilikuwa nzuri Oklahoma City walicheza vizuri sana hasa Kevin Durant kafunga point nyingi.

What a perfomance by OKC!!!...it was a very crucial game for both teams and I am so happy for OKC and hopefully they'd be able to win game 6 in Oklahoma City.
 
As I said if OKC will manage to win game 5, then they are good to go and finish the series at game 6...my predictions still stand
 
Miami wanahali mbaya sasa duh. 15-1 run by Boston.. total disaster.
 
total disaster indeed,

Sijui kwanini wanaogopa kuattack ile ring;
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…