my boi james harden unajua alikuwa drafted mwaka mmoja na hasheem thabeet.....kama pick namba 3....wakati hasheem alionekana mkali akawa pick namba 2.....Yo Yooooooooo!!
Kaka subiri Q4 ndio utukane mto , sorry mamba.Boston Celtic wasahau si OKC ukasema watarudi, Miami heat washamrudisha mtu south beach na kumaliza, Celtic wanachemsha hapa Miami wamebana 3 za Celtic anafurukuta Rondo na Rondo akibanwa wasahau Celtic Final.
50point 2 Lebron leo zitafika naona kama Gundu leo Celtic lipo Mjini kwao. Sizani kama Miami Heat leo watakwenda Goin Fishin kuvua kambale.
13 points sio nyingi kihivyo.50point 2 Lebron leo zitafika naona kama Gundu leo Celtic lipo Mjini kwao. Sizani kama Miami Heat leo watakwenda Goin Fishin kuvua kambale.
23 points, kimenuka sasa .. wababu need miracle.
wababu body language wamesha-giveup. lakini miami hawaaminiki, G7 wanaeza wakarudi kwene mediocrity tena.hahahaaaa, mtaani kimenuka mkuu
I am laughing like a lunatic
yuhuuuu
hahahaaaa, mtaani kimenuka mkuu
I am laughing like a lunatic
yuhuuuu
Haya bana, basi mie naanza ku-root kwa Miami kuanzia dk hii kuchukua ring.Abdulhalim ss kakubali kwamba kimenuka tehtehteh, mie hawanishughulishi West yoyote atayetia mguu na OKC ni kichapo OKC wanatisha kama Ukoma.