Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
Thunder bado wana nafasi ya kushinda miami japo game moja
Labda wabadili namna wanavyoanza lakini wakiwa wana trail trail hovyo hovyo wasahau kabisa
They need to steal 1 game in Miami
Nawatafute dawa ya kupunguza zile tatu za Battier.
Tatu si ishu sana. Leo kama wasingeruhusu kuwa nyuma 18-2 uwezekano wa wao kushinda ulikuwa mkubwa.
Sasa huko Miami sidhani kama watashinda hata game 1.
Nilikuwa nawapa nafasi OKC lakini jinsi nilivyoona game 2 na ukiangalia hali za wachezaji Miami Heat wanaweza kuchukua taji, Durant na wenzake wanaoneka kukataa tamaa mapema, LeBron hiki ndio kipidi chake kuonekana bora NBA tumeona leo kafunga point 32...mbaya zaidi game ya mwisho wanamalizia Miami.
Hapo kwenye rangi si kweli Mkuu ritz. Sasa hivi series inahamia Miami kwa michezo mitatu kuanzia J'pili. Kama OKC wataweza kushinda mchezo mmoja Miami basi itabidi warudi Oklahoma kwa game 6 (na 7 kama itahitajika) ila kama Miami watashinda michezo yote mitatu wakiwa kwao basi wataibuka kidedea kwa kuwatoa OKC 4-1
Mkuu BAK,
Nimekupata nashukuru kwa ufafanuzi wako! Lakini najua wewe ni shabika la kutupwa la Miami.