i so like de west finalz maana kule kuna upinzani wa kweli
Poor game by OKC, everyone was poor all along. lol. Lakini it aint over till its over.
Tatizo kubwa lilikuwa ni insanity ya huyu dogo Russell. Anataka apenetrate kila wakati a.k.a 'Kobe wannabe'. Kila akienda anakutana na matawi lakini anarudia upuuzi uleule. Ameniboa sana. Hata KD naye alichemsha. Hata wangeweza kuchukua game 4th, again with stupid turnovers that couldn't happen. Mavs bado sana, maana wanekutana na on form OKC 20pts lead ingegeuka kipigo. Nways until fat lady sings. 🙂Ujuzi kaka hahaha ukiwa na Watoto basi uwamuzi utaenda kitoto tu kama Arsenal:biggrin1:... Jason Kidd pale na wenzake wanaujuzi Thunder ni wasahau tu. tuone leo Chicago itakuwaje.
Bulls wamepokea kichapo 2-1. Dah ndoo inaeza ikaenda kweli Miami.
Naona wameamua kugive up, walikuwa wanaongoza by 10 points with 3. something minutes to go. Their defense is a suspect, am sure now they are done and out.Dah naona Thunder wanapoteza gemu muda si mrefu
Naona wameamua kugive up, walikuwa wanaongoza by 10 points with 3. something minutes to go. Their defense is a suspect, am sure now they are done and out.
Inaezekana, ila mi nadhani hakuna match-up ya maana pale OKC.Nowitzki ni noma aisee..........duh!!..........
Inaezekana, ila mi nadhani hakuna match-up ya maana pale OKC.
Miami wamenunua tayari ndoo, the big three wanascore points 70-80 per game, na benchi likiongeza zingine 20 is enough to win any game.kweli aisee....kale katoto Durant kanajitahidi lakini...........inavyoelekea Mavs watakutana na Heat........wakikutana hao walau tutaona mavitus ya kiukweli............
Miami wamenunua tayari ndoo, the big three wanascore points 70-80 per game, na benchi likiongeza zingine 20 is enough to win any game.
I hope so..lol. Mkuu game ijayo ndio itathibitisha kama series bado ipo alive au la. Lakini mi naona kama mabingwa wa east na west tayari wanafahamika hadi usawa huu.True....halafu ulicheck jinsi James alivyoshirikiana na Bosh ile last game......jamaa ni moto........Bulls wanaweza kuja kuwa-surprise kwenye next game lakini...........
Dogo anajitahidi sana....nilependa OKC waingie final.....