The Only Friend and Only Competitor of Kenya is Tanzania

The Only Friend and Only Competitor of Kenya is Tanzania

Rais mstaafu jk kwa kutumia idara ya usalama alisaidia Kenya kuzima jaribio la al shabab kushambulia wakati sherehe za kupisha rais kenya
 
Lakini hivi mbona Watanzania basi wanachukia wakenya, tena wivu sana, sijui kwa nini, hadi rais mara hutaja Kenya!!
Unaagalia sana soap opera mpaka unaanza kuziamini. Hakuna nchi hapa EA inajitolea kwa Kenya kama Tanzania. Tena kwa moyo mkunjufu, ila mnajisahau na kuanza kufikiri ni shamba la bibi.
 
Mi naiona Kenya na Tanzania ni nchi ndugu ambazo ukitoa upinzani wa kiuchumi ni rafiki mzuri kuliko nchi yoyote Afrika. Kuna interaction kubwa sana kati ya raia wa tz na Kenya kuliko nchi nyingine, hii utaiona hata katika mitandao mbalimbali ya kijamii. Mi nikimwona mkenya Tz namchukulia poa tu kama raia wengine ila wa nchi nyingine kama Malawi na Zambia nawaona tofauti sana japokuwa nipo karibu sana na nchi hizo kijiografia kuliko Kenya. Huku mitandaoni tunataniana tu kama Jerry muro wa yanga na manara wa simba, wakianza kusemana unaweza sema watapigana muda si mrefu ila kumbe ni utani wa jadi tu kwenye matatizo wanasaidiana. Ukubali au ukatae ila ukweli ni huu Kenya ni mtani wa Tanzania
 
Unaagalia sana soap opera mpaka unaanza kuziamini. Hakuna nchi hapa EA inajitolea kwa Kenya kama Tanzania. Tena kwa moyo mkunjufu, ila mnajisahau na kuanza kufikiri ni shamba la bibi.
Hhhhh!! Eti Soap, noana ni wewe zimekukolea, hoja zako hizi kijingakijinga maanake kuona hizo filamu za watu kulialia, unarudi hapa kulialia
 
watz achen kujipendekeza kwa wakenya sio watu wakuwaamni hao..wao wenyewe hawapendan watawapendaje niny?
 
Lakini hivi mbona Watanzania basi wanachukia wakenya, tena wivu sana, sijui kwa nini, hadi rais mara hutaja Kenya!!
Wakenya ndo mna chuki, yaani povu linawatoka hadi mnaanza kutukana tu mtandaoni
 
Kazi kweli kweli
Africa kusini hakuamini kama mnaigeria atampiku kwenye uchumi
siku zote mwenye nacho ni mwenyenacho tu!!.
Tanzania ina kila namna ya kuipiku Kenya kiuchumi
ni kuamua tu
Na sa hizi tumeamua mkuu! Ngoja wao waendelee kujiona wako juu, ni suala la muda tu
 
It is true that majority Kenyans in general are hardworking people but also are tricky ones.
As a nation they count themselves a super power among East Africa Countries. They would like to grab any opportunities in other members of the block. In their mindsets it is inconceivably to hear that there is any thing good( according to them) from minors like Tanzania etc etc. However there are divine potentials which you cannot change. While we are talking of common tourism policy, Kenyans are claiming that Mt Kilimanjaro is in Kenya! Having such a neighbour can you trust him and have a common strategies ? I wonder!
 
It is true that majority Kenyans in general are hardworking people but also are tricky ones.
As a nation they count themselves a super power among East Africa Countries. They would like to grab any opportunities in other members of the block. In their mindsets it is inconceivably to hear that there is any thing good( according to them) from minors like Tanzania etc etc. However there are divine potentials which you cannot change. While we are talking of common tourism policy, Kenyans are claiming that Mt Kilimanjaro is in Kenya! Having such a neighbour can you trust him and have a common strategies ? I wonder!
the answer is simple..u can not
 
It is true that majority Kenyans in general are hardworking people but also are tricky ones.
As a nation they count themselves a super power among East Africa Countries. They would like to grab any opportunities in other members of the block. In their mindsets it is inconceivably to hear that there is any thing good( according to them) from minors like Tanzania etc etc. However there are divine potentials which you cannot change. While we are talking of common tourism policy, Kenyans are claiming that Mt Kilimanjaro is in Kenya! Having such a neighbour can you trust him and have a common strategies ? I wonder!

Umeongea maneno hayaeleweki kabisa, hivi unajua unachokisema kweli??? Mimi niliuliza kwanini Watanzania wivu limewajaza povu mdomoni juu ya Kenya???????????

Statements kama hizi hunishangaza sana. Watz, muache wivu na chuki kwa jirani. Kama sasa unataka tufanye aje kama Kilimanjaro huonekana vizuri ukiwa Kenya??? Tuhame??? Hebu Tazama picha za Amboseli hapa, hapa ni Kenya lakini views tamu za Kilimanjaro unazipata hapa!! Unatak tufanye aje?? Tuhamishe Amboseli??? Ama mbomoe Kilimanjaro mpeleke Morogoro....

amboseli-elephants.jpg
f432486c039165a02f2bc94bf5e24226.jpg
amboseli-national-park.png
3 days tsavo east amboseli.jpg
 
Umeongea maneno hayaeleweki kabisa, hivi unajua unachokisema kweli??? Mimi niliuliza kwanini Watanzania wivu limewajaza povu mdomoni juu ya Kenya???????????

Statements kama hizi hunishangaza sana. Watz, muache wivu na chuki kwa jirani. Kama sasa unataka tufanye aje kama Kilimanjaro huonekana vizuri ukiwa Kenya??? Tuhame??? Hebu Tazama picha za Amboseli hapa, hapa ni Kenya lakini views tamu za Kilimanjaro unazipata hapa!! Unatak tufanye aje?? Tuhamishe Amboseli??? Ama mbomoe Kilimanjaro mpeleke Morogoro....

View attachment 484903 View attachment 484904 View attachment 484906 View attachment 484908
Kwa hiyo vyote vinaonekana vizuri kutokea upande wa Kenya ni vya Kenya. That is a highest level of greedy from you. Ndiyo maana tunasema huo ni urafiki wa mashaka. It means you you do not respect any possessions of your neighbour if it happen to be within your reach? Kenyan are well treated here in Tanzania but with that mindsets it will make us think twice in trusting you.
 
Kwa hiyo vyote vinaonekana vizuri kutokea upande wa Kenya ni vya Kenya. That is a highest level of greedy from you. Ndiyo maana tunasema huo ni urafiki wa mashaka. It means you you do not respect any possessions of your neighbour if it happen to be within your reach? Kenyan are well treated here in Tanzania but with that mindsets it will make us think twice in trusting you.

You see, these are the very statements from Tanzanians that makes us Kenya wonder which kind of a neighbor we have. Being jealous of Kenya will not take you any place my friends. This is something Tanzania has not understood up to now
 
Hata huo mlima kilimanjaro twautumia ujanja wetu kuufanyia marketing tukisema uko nchini kenya na mihela mwaipata kwelikweli wakati watanzania walalapo
olduvai gorge tulifanya vile vile mihela ikaja pia...
 
You see, these are the very statements from Tanzanians that makes us Kenya wonder which kind of a neighbor we have. Being jealous of Kenya will not take you any place my friends. This is something Tanzania has not understood up to now
Why should we be jealous of Kenya? Just be honest with yourself between us ( Tanzanians and you Kenyans ) who are more hospitable to others? Let not talk cheap lip serves but reality of the matter.
Yes we cannot be the same in each and every aspect of life as we have different cultures and even mode of lives. But for us to be good neighbors we must adopt common friendship core values. Like respecting each and maintain a win win situations in socioeconomic issues. Labelling each other it won't help us bridge the gape of mistrust especially taking into account of past history like of the died East Africa Community. Tanzanians still harbours hard feelings that Kenyans were the root cause. Another living example Just a week ago Tanzania received envoy from Kenya which was asking for Doctors as to rescue the situation in their taking into account of the on going standoff of Kenyans Doctors. But what follows in social media is a laugh because the same are labelling Tanzanians Doctors as "Waganga wa Kienyeji" -witchdoctors. Just think how embarrassing it is? Are you serious?
 
Nawapenda wakenya.tukiwa nje ya nchi tunakuwa kitu kimoja.Mtanzania atamkubali na kumwamini kiraisi zaidi Mkenya kuliko tuseme Mnigeria,au hata Mmalawi au Mzambia.Madongo tunatupiana tukiwa kwetu tuu.
Inategemea wewe unapakana na wa nchi gani? Watu wakusini mwa Tanzania nao watasema ni rahisi kushirikiana na Wamalawi kuliko Wakenya.
Hata hivyo mjadala ulikuwa unahusu Tanzania na Kenya.
 
Why should we be jealous of Kenya? Just be honest with yourself between us ( Tanzanians and you Kenyans ) who are more hospitable to others? Let not talk cheap lip serves but reality of the matter.
Yes we cannot be the same in each and every aspect of life as we have different cultures and even mode of lives. But for us to be good neighbors we must adopt common friendship core values. Like respecting each and maintain a win win situations in socioeconomic issues. Labelling each other it won't help us bridge the gape of mistrust especially taking into account of past history like of the died East Africa Community. Tanzanians still harbours hard feelings that Kenyans were the root cause. Another living example Just a week ago Tanzania received envoy from Kenya which was asking for Doctors as to rescue the situation in their taking into account of the on going standoff of Kenyans Doctors. But what follows in social media is a laugh because the same are labelling Tanzanians Doctors as "Waganga wa Kienyeji" -witchdoctors. Just think how embarrassing it is? Are you serious?

Hivyo ulivyoma ni sawa, ila Watz mnashida ya kutoamini Wakenya, ikija kufanya biashara pamoja, mnaanza kunung'unika!! Ilivyo akunga EAC hapo awali Tanzania inawalaumu Wakenya kivipi sasa, mbona Tanzania iwe hivi??? Naona Watanzania walichukua mkondo mbovu sana
 
Hivyo ulivyoma ni sawa, ila Watz mnashida ya kutoamini Wakenya, ikija kufanya biashara pamoja, mnaanza kunung'unika!! Ilivyo akunga EAC hapo awali Tanzania inawalaumu Wakenya kivipi sasa, mbona Tanzania iwe hivi??? Naona Watanzania walichukua mkondo mbovu sana
Why Tanzanians do not trust Kenyans in a joint businesses ? The answer is simple. Because Kenyans are not trustworthy when it comes to businesses.
That is why we have to adopt a more friendly businesses approach where no mistrust exists among businessmen from two countries.
 
Back
Top Bottom