hahaha kwa hiyo mixer hapo chief ujiandae na trip za ofisi kuuHongera Mkuu mie nasubiri mwaliko wa kuja kula pilau la nguvu lenye nyama tele, viazi, zabibu, mdalasini, bizari nyembamba na mazagazaga mengine bila kusahau kachumbari ya nguvu kisha kutililia suti na dancing shoes na kujirusha usiku kucha huku tukiwapongeza. Nitaleta na debe zangu ili tujirushe vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Au Mwifwa kaibiwa simu yake?
he hehee ....bila shaka mlengwa atakuwa ni Miss Natafuta tuView attachment 766824
Hebu tazama uzuri wa sayari nzuri uionayo kichwani kwako, ifikirie taswira ya raha uipatayo huko na kisha rejesha mawazo yako katika muonekano halisi wa dunia uipendayo.
Ingekuwa chaguo la moyo wangu Basi ningetengeza dunia nyingine nzuri nikaishi na wewe tu. We ni chanzo cha Furaha ya maisha yangu kwani kuridhika kwa moyo wangu ni pale nikuonapo tu zaidi ya tabasamu lako hapo hunifanya nihamishe mawazo na niende katika sayari nyingine kimawazo.
Natafakari ukaribu wako hasa pale uwapo karibu na Mimi ni zaidi ya upendo Mara unifunikapo kwa joto lako tamu la uaminifu.
Hakika katika kila hangaiko lina raha yake. Kwani weee ni kile kisima nilichokitafuta miaka nikitembea jangwani na nyikani na hatimae Leo nimefika katika maji matamu ya kuburudisha hisia zangu.
Najiachia na naruhusu nafsi yangu itulie kwako kwani wewe ndio chaguo sahihi la moyo wangu.
View attachment 766829
Sasa wewe jana umeshinda umelala ata nilivyokuita huku hukujakhaa mna siri nyie hata kunitonya
Ucshtuke ndg yngu kamtekaHahah!! Mwifwa alinishtua shem
Pachaaaaa unachocheaWeeeeraweeeeraaaaaa
hahaha [emoji23][emoji28][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]Hahahah
Nyie mjue tu nampenda imetosha
Siredi jaman zataka moyo
Shukrani sana mkuu[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
hhhuuuu hongera bana....[emoji23] [emoji23]View attachment 766824
Hebu tazama uzuri wa sayari nzuri uionayo kichwani kwako, ifikirie taswira ya raha uipatayo huko na kisha rejesha mawazo yako katika muonekano halisi wa dunia uipendayo.
Ingekuwa chaguo la moyo wangu Basi ningetengeza dunia nyingine nzuri nikaishi na wewe tu. We ni chanzo cha Furaha ya maisha yangu kwani kuridhika kwa moyo wangu ni pale nikuonapo tu zaidi ya tabasamu lako hapo hunifanya nihamishe mawazo na niende katika sayari nyingine kimawazo.
Natafakari ukaribu wako hasa pale uwapo karibu na Mimi ni zaidi ya upendo Mara unifunikapo kwa joto lako tamu la uaminifu.
Hakika katika kila hangaiko lina raha yake. Kwani weee ni kile kisima nilichokitafuta miaka nikitembea jangwani na nyikani na hatimae Leo nimefika katika maji matamu ya kuburudisha hisia zangu.
Najiachia na naruhusu nafsi yangu itulie kwako kwani wewe ndio chaguo sahihi la moyo wangu.
View attachment 766829
AmenWoyoooo
Jirani yangu mimi apaaaa!!!
Naona moyo umedondokaaaaaa kwa binti mapesaaa!!!
Mungu awajaalie kila lenye kheri jamanii!!
Moneytalk kupendwa bahati mdogo wangu!! Ushikwapo shikamanaa!!!
Nachochea kama mpotoPachaaaaa unachochea
Bado wewe sasa....ni vipiii!![emoji1][emoji1]