The Only One My Love moneytalk

Macho yanaumaaaa vidoleeee vinaumaaaa jaman khaaaaa Jf inanitoa chambo

Ngoja nicheke kihutu Kwanzaa
Hihiiiiiiiiiiiii[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lol.

Kama mie ujue, hadi nikakumbuka lile blanketi rafiki kumbe halikuwa la maandishi kumbe la ukweli banaaaa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .
 
Shem nilikupa salamu hukuzifikisha kwanini?
Alirudi kachoka sana shemeji yangu, na mimi huwa ninautaratibu pindi anapokuwa kachoka viungo vya mwili wake basi huwa nina mfanyia full massage [emoji4]
Wakati nikimsindikiza na maneno matamu tamu kama vile baby i really missing you, yaan ulivyoondoka nikawa naogopa kubaki mwenyewe, huku baridi na hii mvua next time itabidi tusafiri wote baby wangu.

Sasa zile salamu ningempa saa ngapi shemeji yangu?
Nisamehe tuu shem.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…