The Only One My Love moneytalk

Komredi naona sasa umekamatika, sio kwa asali hiyo uliyomlambisha bibie[emoji23] [emoji23]
Hongereni sana kwakweli, ila usijisahau ukatoa siri ya lindo tukavamiwa[emoji40] [emoji125]
 
Mwifwa na shem niwaache mpumzike sasa aisee maana nimekua na nyinyi toka mwanzo mpaka sasa hivi......

Nawatakia kila lakheri katika mapenzi yenu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…