The Only One My Love moneytalk

The Only One My Love moneytalk

Komredi naona sasa umekamatika, sio kwa asali hiyo uliyomlambisha bibie[emoji23] [emoji23]
Hongereni sana kwakweli, ila usijisahau ukatoa siri ya lindo tukavamiwa[emoji40] [emoji125]
 
Mwifwa na shem niwaache mpumzike sasa aisee maana nimekua na nyinyi toka mwanzo mpaka sasa hivi......

Nawatakia kila lakheri katika mapenzi yenu...
 
Back
Top Bottom