[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hahah!! Usijari mkuu huyu jamaa ni family member kabisa na nilishaanza kumfua muda sasa..
Mambo ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]Mambo ni hiviii
Kwa hiyo mpenzi unataka usema maneno nnayo kupaga hayafikii ya MwifwaNimeona mpenzi wangu, ila hiyo mistari mpaka nimeskia wivu ujue,
Embu nambie kwanza ulikuwa wapi na kwanini unapenda kuutesa moyo wangu?
Hahaaa. Umeonaee.Nikweli rafiki Mwifwa katuongezea mtu
Woyoooo
Jirani yangu mimi apaaaa!!!
Naona moyo umedondokaaaaaa kwa binti mapesaaa!!!
Mungu awajaalie kila lenye kheri jamanii!!
Moneytalk kupendwa bahati mdogo wangu!! Ushikwapo shikamanaa!!!
Eti siye si watu wanajua kuwa twapendana tayari kias hatuhitaji kifungua sirediNimekuja mylove
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lol.
Kama mie ujue, hadi nikakumbuka lile blanketi rafiki kumbe halikuwa la maandishi kumbe la ukweli banaaaa.
Kwa hiyo mpenzi unataka usema maneno nnayo kupaga hayafikii ya Mwifwa
Au na wewe unataka nifungue siredi.
Nilikuwa kwa Mwifwa tuna andaa shughuli ya leo narudi sasa hivi mama watoto
Natamani kuona siledi yenuAhahahaaaaaa
Kujionyesha ndio nini sasa wakati sisi wote tunajua kua mpo pamoja?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sisi bhana hatupendi kujionesha
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimeona mpenzi wangu, ila hiyo mistari mpaka nimeskia wivu ujue,
Embu nambie kwanza ulikuwa wapi na kwanini unapenda kuutesa moyo wangu?
Jamani babe kakaHahaha
Mwifwa kanistua hapa mylove sista
Oyooooo oyooooooo!Mi binafsi ni Gangster sinaga tabia ya kumbebisha dem wangu kiasi hiki,
Ila uzuri alianza kuonyesha dalili tokea janaHahaaaa. Ya moyoni yale rafiki.
Si unajua mahaba yakikolea kila neno linatamkwa. Lol
Haahaaaa. Hana mambo ya Chit-chat. [emoji85] [emoji85][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwifwa hatanii aisee...
[emoji23][emoji23]Kwa hiyo mpenzi unataka usema maneno nnayo kupaga hayafikii ya Mwifwa
Au na wewe unataka nifungue siredi.
Nilikuwa kwa Mwifwa tuna andaa shughuli ya leo narudi sasa hivi mama watoto
Usjal honey sista ntapumzika ngoja nihudhurie shughuli hiiJamani babe kaka
Sawa kakangu kipenziUsjal honey sista ntapumzika ngoja nihudhurie shughuli hii