Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahaaaa. Nakumbuka ujue.Ila uzuri alianza kuonyesha dalili tokea jana
Kila la kheri kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa. Nakumbuka ujue.Ila uzuri alianza kuonyesha dalili tokea jana
Ngoja aje atoe neno tenaHahaaa. Umeonaee.
Unaenda wapi?Haahaaaa. Hana mambo ya Chit-chat. [emoji85] [emoji85]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kwakweli....Hahaaaa. Nakumbuka ujue.
Kila la kheri kwake.
No baby, ila hii mistari ya Mwifwa ni kiboko sana au wewe hujaona alivyoipangilia?Kwa hiyo mpenzi unataka usema maneno nnayo kupaga hayafikii ya Mwifwa
Au na wewe unataka nifungue siredi.
Nilikuwa kwa Mwifwa tuna andaa shughuli ya leo narudi sasa hivi mama watoto
Hahaaaa. Usijali Sesten.Mapenzi ni ngao kaa ufikiri
Kwa wapendanao hukaa wawili
Fanya chuki nao, wala hawajali
Hupeana vyeo wenyewe kwa siri
Kama huyajui uliza wenzio
Hajar nimekumbuka beti chache hizi kutoka katika wimbo wa taarab asilia wa Club ya Culture kutoka masiwani Unguja, basi umfikishie ndugu yako Mwifwa na wifi yako ingawa hamkutualika pilau ya shughuli Hajar
Kabisa mpenzi, wengi wanatambua hiloEti siye si watu wanajua kuwa twapendana tayari kias hatuhitaji kifungua siredi
Hebu iwekeni hadharani basi hiyo mistari mnayopeana faragha na madomo zege wajifunzage humohumoNo baby, ila hii mistari ya Mwifwa ni kiboko sana au wewe hujaona alivyoipangilia?
Yaani nimejikuta nasoma huku natikisa kichwa kwa madaha utadhani ndio muhusika mkuu [emoji28], ila nilikuwa najaribu kuyasoma huku navuta picha yako juu ya maneno yale unayoniambiaga.
habri unazoo mdog wanguAiseeee
Aiseeee
Aiseeeee
Mpenzi wangu hayupo vizuri kimaandishi ila kwakuongea yupo vizuri sana aiseehNatamani kuona siledi yenu
[emoji4][emoji4][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaa[emoji23][emoji23]
Msaidie huyo,mwambie anayoongea ndo ayaandikeMpenzi wangu hayupo vizuri kimaandishi ila kwakuongea yupo vizuri sana aiseeh
Hahahaaaaa. Lol.habri unazoo mdog wangu
Baby umenipa was was umeyapamba mno maneno ya MwifwaNo baby, ila hii mistari ya Mwifwa ni kiboko sana au wewe hujaona alivyoipangilia?
Yaani nimejikuta nasoma huku natikisa kichwa kwa madaha utadhani ndio muhusika mkuu [emoji28], ila nilikuwa najaribu kuyasoma huku navuta picha yako juu ya maneno yale unayoniambiaga.