sawa kipenzi changuNashukuru kwa chakula kizuri kipenzi. Yaani uko smart kila sekta.
Ngoja nimalizie kuangalia mechi hapa ya Mnyama na sijui na katimu gani hapa kameanza kuraruliwa mapema tu, halafu jioni tutenda kule kumalizia weekend
my loveBabe wangu[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
wasubirie tu matundaAngejua asingesema hivyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]We nae wewe.. Mimi sina eeehh!!
Mama kanikataza mambo hayo.[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Kaniambia nimtunzie mke wangu mtarajiwa.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ebu niwache mie mwenyewe sipendi kubebishwa hapa tunapelekana kijeshiSema ukweli wako kama nilishawahi kukubebisha
Tena nahisi hii ndo sababu iliyofanya uende kwa Davet sababu ye anabebisha
Ushakua mkubwa wewe na demu umepata acha tabia za kushtaki shtaki nyumbaniNitakushtaki kwa Dada zetu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Subiri umalize honeymoon tutakutana kwenye kikao cha familiaKwa maswali yako lazima ushtakiwe tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]