The Only One My Love moneytalk

The Only One My Love moneytalk

Wajameni na mimi naombeni mdada mmoja JF mwenye umri kati ya miaka 18 hadi 30 tuanzishe kama hivi. Tukiendana nitamuwowa, mimi nipo Dar nina miaka 34 nina mandinga makali na ni meneja kampuni kubwa hapa nchini.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapo rada yangu ilikuwa inasearch ila haikunasa maana alikata network kwa muda na kupotea hadi akarejea juzi na kukuta hali kama hii ishakamilika.

Jitahidi hapo hapo unase kitu chako
Haa haa ha haa aiseee
Kumbe hata ww hii rada ulikua
Umeisearch network ikakuktia
Njian[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Ngoja nikomae hapo wala stoi
Mguuu
 
View attachment 766824
Hebu tazama uzuri wa sayari nzuri uionayo kichwani kwako, ifikirie taswira ya raha uipatayo huko na kisha rejesha mawazo yako katika muonekano halisi wa dunia uipendayo.

Ingekuwa chaguo la moyo wangu Basi ningetengeza dunia nyingine nzuri nikaishi na wewe tu. We ni chanzo cha Furaha ya maisha yangu kwani kuridhika kwa moyo wangu ni pale nikuonapo tu zaidi ya tabasamu lako hapo hunifanya nihamishe mawazo na niende katika sayari nyingine kimawazo.

Natafakari ukaribu wako hasa pale uwapo karibu na Mimi ni zaidi ya upendo Mara unifunikapo kwa joto lako tamu la uaminifu.

Hakika katika kila hangaiko lina raha yake. Kwani weee ni kile kisima nilichokitafuta miaka nikitembea jangwani na nyikani na hatimae Leo nimefika katika maji matamu ya kuburudisha hisia zangu.

Najiachia na naruhusu nafsi yangu itulie kwako kwani wewe ndio chaguo sahihi la moyo wangu.
View attachment 766829
Mkuuu Kwa mashahir haya basi wabongoo nasisi tupo level ya juu[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Hii ni ya kibongo mkuu.

Huoni na ile ya Mh nayo ilikwama
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Bongo lala

Ilikwama kama bongo movie
 
Wajameni na mimi naombeni mdada mmoja JF mwenye umri kati ya miaka 18 hadi 30 tuanzishe kama hivi. Tukiendana nitamuwowa, mimi nipo Dar nina miaka 34 nina mandinga makali na ni meneja kampuni kubwa hapa nchini.
Cc miss natafta
 
Haa haa ha haa aiseee
Kumbe hata ww hii rada ulikua
Umeisearch network ikakuktia
Njian[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Ngoja nikomae hapo wala stoi
Mguuu
Ndio mkuu, ila uwe na mbadala endapo ikifeli usipate shida sana
 
Ndio mkuu, ila uwe na mbadala endapo ikifeli usipate shida sana
C unajuaga ile kukinyesha
Fuso haipand kwenye mlima
Bila kigoda[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Maana any time break znafell
 
Wangu kipenzi mzuri, mfano kama hariri.

Wewe kwangu ni habari, kifani chako dinari.

Zipite enzi dahari, ubaki wangu uturi.

Mola akujaze kheri, akuepushe na shari.
Nakosa hata chakusema jaman,zaidi niseme tu namshukuru mungu kwakunikutanisha nawe!nakupenda sana
 
Nakosa hata chakusema jaman,zaidi niseme tu namshukuru mungu kwakunikutanisha nawe!nakupenda sana
Upendo haununuliwi dukani, wala haupimwi na mizani.

Upendo upo moyoni, ninakupenda kutoka moyoni
 
Back
Top Bottom