Revolution
JF-Expert Member
- Feb 28, 2008
- 960
- 927
Haa haa ha haa aiseee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapo rada yangu ilikuwa inasearch ila haikunasa maana alikata network kwa muda na kupotea hadi akarejea juzi na kukuta hali kama hii ishakamilika.
Jitahidi hapo hapo unase kitu chako
Mkuuu Kwa mashahir haya basi wabongoo nasisi tupo level ya juu[emoji1] [emoji1] [emoji1]View attachment 766824
Hebu tazama uzuri wa sayari nzuri uionayo kichwani kwako, ifikirie taswira ya raha uipatayo huko na kisha rejesha mawazo yako katika muonekano halisi wa dunia uipendayo.
Ingekuwa chaguo la moyo wangu Basi ningetengeza dunia nyingine nzuri nikaishi na wewe tu. We ni chanzo cha Furaha ya maisha yangu kwani kuridhika kwa moyo wangu ni pale nikuonapo tu zaidi ya tabasamu lako hapo hunifanya nihamishe mawazo na niende katika sayari nyingine kimawazo.
Natafakari ukaribu wako hasa pale uwapo karibu na Mimi ni zaidi ya upendo Mara unifunikapo kwa joto lako tamu la uaminifu.
Hakika katika kila hangaiko lina raha yake. Kwani weee ni kile kisima nilichokitafuta miaka nikitembea jangwani na nyikani na hatimae Leo nimefika katika maji matamu ya kuburudisha hisia zangu.
Najiachia na naruhusu nafsi yangu itulie kwako kwani wewe ndio chaguo sahihi la moyo wangu.
View attachment 766829
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hii ni ya kibongo mkuu.
Huoni na ile ya Mh nayo ilikwama
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Cc miss nataftaWajameni na mimi naombeni mdada mmoja JF mwenye umri kati ya miaka 18 hadi 30 tuanzishe kama hivi. Tukiendana nitamuwowa, mimi nipo Dar nina miaka 34 nina mandinga makali na ni meneja kampuni kubwa hapa nchini.
Ndio mkuu, ila uwe na mbadala endapo ikifeli usipate shida sanaHaa haa ha haa aiseee
Kumbe hata ww hii rada ulikua
Umeisearch network ikakuktia
Njian[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ngoja nikomae hapo wala stoi
Mguuu
C unajuaga ile kukinyeshaNdio mkuu, ila uwe na mbadala endapo ikifeli usipate shida sana
Kabsa chief nayo n. kuchezaNdio hivyo mkuu, ukiwa kwenye mapambano lazima uwe na mbinu nyingi
Nakosa hata chakusema jaman,zaidi niseme tu namshukuru mungu kwakunikutanisha nawe!nakupenda sanaWangu kipenzi mzuri, mfano kama hariri.
Wewe kwangu ni habari, kifani chako dinari.
Zipite enzi dahari, ubaki wangu uturi.
Mola akujaze kheri, akuepushe na shari.
Mambo hayo [emoji7]hivi unajua nikiac gani nakupenda