The Only One My Love moneytalk

The Only One My Love moneytalk

Aiseee
Kwanza nakushukuru kwa kulibeba kwa uzito wake babe kaka!!

Mimi nilianza kupata wasiwasi baada ya kimya kutawala!! Lakini sikutaka kuonyesha ili Shunie asiumie!!

Na hata alivyokuja sikuona kama alikuwa tayari, ile haikuwa reaction ya mapenzi aki!! Kumbe ulienda kumbeba eeeh
Hahahah
Nilienda kumkumbusha tuu yeye akaja mwenyewe
But watu wetu hawa wote so ilikuwa lazma kama ndugu wa karibu nihusike.
 
Oohoo my love nashindwa hata niseme nini jaman,nimejikuta nalia kwa furaha,kila siku unanifanya nijione mpya nakama vile naitawala duniani nzima kwa mapenzi yako kwangu,mwifwa wangu wewe nimwanaume wapekee sana ktk maisha yangu na naamini ulizaliwa kwa ajili yangu,siku zote sitachoka kumshukuru mwenyezi mungu kwakunipa wewe,nakupenda sana mpenzi wangu,daima tuzidi kumuomba mungu atuongoze katika safari yetu Tanisha! nakupenda mume wangu
Hii reli ilikuwa imerefuka sana , nikaifuatuilia hadi hapa ndio nimeona nilichokuwa nakifuatilia.

Ahsante sana my kipenzi moneytalk, upendo wangu kwako upo moyoni tu na hauwezi kuhamia sehemu nyingine maana ulipo ndio mahala pake,.

Kila sekunde, dakika, saa, siku huwa naiona ni tofauti na iliyopita nikiwa na wewe, kwa mapenzi unayonipa najiona kama naimiliki Dunia yote.
Nakupenda sana kipenzi changu moneytalk
 
Hii reli ilikuwa imerefuka sana , nikaifuatuilia hadi hapa ndio nimeona nilichokuwa nakifuatilia.

Ahsante sana my kipenzi moneytalk, upendo wangu kwako upo moyoni tu na hauwezi kuhamia sehemu nyingine maana ulipo ndio mahala pake,.

Kila sekunde, dakika, saa, siku huwa naiona ni tofauti na iliyopita nikiwa na wewe, kwa mapenzi unayonipa najiona kama naimiliki Dunia yote.
Nakupenda sana kipenzi changu moneytalk
sina neno lingine zaidi yanakupenda baba watoto wangu,matendo yangu yatakuwa yakukupendeza zaidi kuliko maneno
 
Back
Top Bottom