Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,445
- 205,933
[emoji23][emoji23][emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Kipenzi changu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Kipenzi changu
Hahah!! Kumbe unajuaNilikuona siku ile [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahaaa wewe mtuhahaaa kama ulikuwa una nyapia nyapia na kile ki babywalker chako mwifwa ndio ameshakuwa....mtoto alikuwa Anataka x6 baba...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Hii reli ilikuwa imerefuka sana , nikaifuatuilia hadi hapa ndio nimeona nilichokuwa nakifuatilia.
Ahsante sana my kipenzi moneytalk, upendo wangu kwako upo moyoni tu na hauwezi kuhamia sehemu nyingine maana ulipo ndio mahala pake,.
Kila sekunde, dakika, saa, siku huwa naiona ni tofauti na iliyopita nikiwa na wewe, kwa mapenzi unayonipa najiona kama naimiliki Dunia yote.
Nakupenda sana kipenzi changu moneytalk
Aisee!sina neno lingine zaidi yanakupenda baba watoto wangu,matendo yangu yatakuwa yakukupendeza zaidi kuliko maneno
Bado mimi na wewe japo sijui kama chura ipo!![emoji1][emoji1][emoji1]Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Hongereni wapenzi
Chura sasa ndo kikwazo mkuu. Huwezi kujaribu kutoka na flat screen ili nasi tujibebishe![emoji85]Bado mimi na wewe japo sijui kama chura ipo!![emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji20] [emoji20] [emoji20]
Jolie Jolie kanichekesha sanaHahahahaha lol! Mwenyezi Mungu anakuona ujue ila Mkuu Mwifwa si mkurupukaji Jolie Jolie. Eti mahaba ya mwendo kasi LoL!
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Oohoo my love nashindwa hata niseme nini jaman,nimejikuta nalia kwa furaha,kila siku unanifanya nijione mpya nakama vile naitawala duniani nzima kwa mapenzi yako kwangu,mwifwa wangu wewe nimwanaume wapekee sana ktk maisha yangu na naamini ulizaliwa kwa ajili yangu,siku zote sitachoka kumshukuru mwenyezi mungu kwakunipa wewe,nakupenda sana mpenzi wangu,daima tuzidi kumuomba mungu atuongoze katika safari yetu Tanisha! nakupenda mume wangu