carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Nimezipata,nashukuru.
Nasubiri kadi ya mchango na mwaliko tu hapa
Nasubiri kadi ya mchango na mwaliko tu hapa
Utakapomuona mfikishie salamu zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakapomuona mfikishie salamu zangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]karoho kangu tu jamaniNtamfikishia kaka
Kwa kweli hizi kwake zitakuwa ni kama taarifa za msiba
Haya bhana[emoji4][emoji4][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hamna ume mature kweli. umekuja kiroho safi kabsa.
Hujajua tuu jinsi nilivo kuaminia, ndo ukibwa huo
Acha kufukua makaburi [emoji23]
Ilikuwa siyo fungu lako Carba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]karoho kangu tu jamani
HahahahaImebidi tu[emoji23][emoji23][emoji23]watu wanataka kunitia ubaya kwa wifi na shemeji
Ilikuwa siyo fungu lako Carba
Lets move on tuu
[emoji23][emoji23][emoji23]me nilijua tu,kulikua na namna....Nasikitika sana rada imenaswa njiani wakati ipo kwenye masafa marefu kumtafuta my wangu.
Kadi utapata hilo suala Hajar na ukhuty wanalisimamia
Sema ukweli wako kama nilishawahi kukubebisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maneno ya mkosaji pyeeee
Nashukuru kwa chakula kizuri kipenzi. Yaani uko smart kila sekta.nimekupikia mume wangu kile chakula ukipendacho,njoo nyumban tutatoka usiku
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Imebidi tu[emoji23][emoji23][emoji23]watu wanataka kunitia ubaya kwa wifi na shemeji
AbeeeKipenzi changu[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
na atasubiri sanaNaona anataka ajue hadi muda husika[emoji23] [emoji23] [emoji23]