The Only Thing We Have to Fear is Fear itself

The Only Thing We Have to Fear is Fear itself

naomba kuuliza hivi kwanini wabunge wa vyama vya upinzani wasifikie hatua wakasusia kuwekwa katika misafara ya rais ama waziri mkuu endapo inaonekana kuwemo kwao ni kam msukule ?
 
Mbowe, great! Tunatazamia utaendelea kumkumbusha Rais wetu, matumaini ya Watanzania kwake yanaanza kwenda chini; na hili tutraliona kwenye uchaguzi ujao asiporejea hotuba hiyo na kubadilisha mwenendo ili uendane na hotuba zake.
 
So, Mbowe is now bitter kwamba mialiko ya ikulu kwa wapinzania inakuja kwa kudunduliza!

When will the opposition formulate their own agenda. Kila siku it is about responding to what others have said and done, about events and news. Kukitokea mgomo wa mahabusu, Mbatia anaitisha press conference, Rais akisafiri na wabunge wa upinzani, Mbowe anaandika "tafakuri", Makamba akifanya mkutano wa hadhara Mbulu na kuiba wanachama wa upinzani, you will hear Mrema calling a press conference, Rais akitoa hotuba, ajenda za Mbowe zinatoka kwenye hiyo hotuba ya Rais, Kandoro akiondoa wamachinga katikati ya jiji, Zitto anashiriki maandamano yao ya kupinga, Sitta aki...., I could go on and on.

It is one thing to write a poetic article, it is another to shape a public debate. Katika hili, CHADEMA wamekuwa muflis. Bila hili, wapinzani watabakia kuwa walalamishi tu kila siku. Upinzani ni uongozi vilevile, na huwezi kuongoza kama unashindwa ku-inspire watu kuwaza na kufikiri juu ya hali zao na namna ya kujiendeleza. Huwezi kuongoza watu kwa ku-point out what others are doing or saying. What is the difference then between Mbowe na Mzee Mwanakijiji? Seriously. Just read their stuff and compare. Mwanakijiji stuff has more depth. Lakini sishangazwi na hili. It would be unfair to expect mtu kama Mbowe to come up with any original idea. He is not Maalim Seif. This is not Lip Lip Lipumba!

The bottom line: Mr. Mbowe, think and inspire Tanzanians to think. Don't just point out what Kikwete said in December 2005 and whether he has lived up to it. Yes, it is important task kuwakumbusha viongozi maneno yao. But yours should be larger task: to inspire Tanzanians. If you cannot, forget about a political career.
 
So, Mbowe is now bitter kwamba mialiko ya ikulu kwa wapinzania inakuja kwa kudunduliza!

When will the opposition formulate their own agenda. Kila siku it is about responding to what others have said and done, about events and news. Kukitokea mgomo wa mahabusu, Mbatia anaitisha press conference, Rais akisafiri na wabunge wa upinzani, Mbowe anaandika "tafakuri", Makamba akifanya mkutano wa hadhara Mbulu na kuiba wanachama wa upinzani, you will hear Mrema calling a press conference, Rais akitoa hotuba, ajenda za Mbowe zinatoka kwenye hiyo hotuba ya Rais, Kandoro akiondoa wamachinga katikati ya jiji, Zitto anashiriki maandamano yao ya kupinga, Sitta aki...., I could go on and on.

It is one thing to write a poetic article, it is another to shape a public debate. Katika hili, CHADEMA wamekuwa muflis. Bila hili, wapinzani watabakia kuwa walalamishi tu kila siku. Upinzani ni uongozi vilevile, na huwezi kuongoza kama unashindwa ku-inspire watu kuwaza na kufikiri juu ya hali zao na namna ya kujiendeleza. Huwezi kuongoza watu kwa ku-point out what others are doing or saying. What is the difference then between Mbowe na Mzee Mwanakijiji? Seriously. Just read their stuff and compare. Mwanakijiji stuff has more depth. Lakini sishangazwi na hili. It would be unfair to expect mtu kama Mbowe to come up with any original idea. He is not Maalim Seif. This is not Lip Lip Lipumba!

The bottom line: Mr. Mbowe, think and inspire Tanzanians to think. Don't just point out what Kikwete said in December 2005 and whether he has lived up to it. Yes, it is important task kuwakumbusha viongozi maneno yao. But yours should be larger task: to inspire Tanzanians. If you cannot, forget about a political career.



What mbowe said is totally true ! he should be given a hand of applause on that one ! its tooo late to say not to judge kikwete ! kumbuka huyu rais kikwete ameshaelemewa na nchi na ndio maana unasikia wanataka kuunganisha wizara, taasisi and so on ! great mbowe.

From my knowledge, i annalyze mbowe's points of view as great, because he had all he needed to question the president. i.e
(a)evidence source - malalamiko yake yanaendana na matamshi aliyotoa kikwete.
(b)evidence strenth- kutokana na kauli za kikwete, mbowe ameweza kumdunga nazo back( sijui kama jk huwa anaelewa anapotoa hotuba zake)
(c)discomforting evidence
(d)na other factors

hivyo, alivhofanya mbowe anastahili kuungwa mkono !
its time for kikwete to wake up ! ukizingatia anawasahau sana wapinzani huku ukiangalia anakwambia ccm inahitaji ccm wapinzani, na hana nia ya kuuua upinzani, screw you your excellency !
 
Invincible... kumpa mtu jina haina maana unadhoofisha hoja zake! Kama tumbili anatoa hoja zenye nguvu ni bora kumsikiliza kuliko "mtu" anayetoa hoja zenye pumba!! Kama hukubaliani na hoja zake mwaga sababu zako badala ya kusingizia aliyetoa hoja ni "nyani" au "tumbili"...!!
 
Invincible... kumpa mtu jina haina maana unadhoofisha hoja zake! Kama tumbili anatoa hoja zenye nguvu ni bora kumsikiliza kuliko "mtu" anayetoa hoja zenye pumba!! Kama hukubaliani na hoja zake mwaga sababu zako badala ya kusingizia aliyetoa hoja ni "nyani" au "tumbili"...!!

Nimekupata Mwanakijiji......ila mimi ninachotoa ni summary tu baada ya kuelewa na kumuelewa mtoa hoja. You want detailed explaination.....I will do that when I get enough time.....Hoja hujibiwa kwa hoja.
 
Mzee Wangu Invincible,

Heshima mbele mkuu, du leo kwa mara ya kwanza umenishitua ndugu yangu, kauli nzito hizo, Mzee Kada amajibu hoja, hakukuwa na sababu za majina wakati jamaa jinalake hapa ni Mugongo Mugongo,

ukimuomba radhi itakuwa ni heshima kubwa sana kwa forum ndugu yangu, ninajua kuwa wewe ni veteran wa huu mchezo lakini lugha ni nzito kidogo!
 
Mugongo una haki ya kusema lakini unajishushia hadhi sana .Lakini una haki kusema lolote hii ni JF
 
Mzee Mwanakijiji, ES na wengineo,

When I read comments like that from Mbowe people, I feel in heavens! Ha ha ha!

My mission is simple: to point out that Mbowe and his groupies offer no philosophical, ideological or political alternative to what is going on now in our motherland. What they present is a litany of complaints sweetened with a nationalistic rhetoric. Heck! Le Pen could do that in France and pull 20 percent of votes. My message: Quit your whining and do something and offer inspirational agenda.

Seriously, what are Mbowe's policy alternatives to export push, expansion of secondary education, investment promotion, and blah blah that JK and Lowassa spit everyday? And, what are the ideological, philosophical and political underpinnings of those alternatives?

I mean how can a serious opposition leader complain about mialiko ya Ikulu inakuja michache au wabunge wa upinzani wanaoenda ziara za nje na Rais wanaachana na msafara wa Rais airport. Did he want the President to have dinner with them upon return?

This would have been fine kama ingekuwa Mrema, lakini this is Mbowe. He deserves special scrutiny kwasababu he presents himself as a new hope while he is as fake as a two dollar bill. And, now he has joined the club of pundits, writing articles every week, mawe kama haya hamuwezi kuyaita unfair. And because he is a member here, he should come out and participate in the debate.
 
Mugongox2

Tatizo lako kubwa husomi nyaraka za CHADEMA na kwa bahati mbaya inaonekana hupitia au hujapitia ILANI YA CHADEMA

naomba badala ya kupiga vijembe hapa nenda www.chadema.net unaweza kujifunza mengi zaidi.
 
Mzee Wangu Invincible,

Heshima mbele mkuu, du leo kwa mara ya kwanza umenishitua ndugu yangu, kauli nzito hizo, Mzee Kada amajibu hoja, hakukuwa na sababu za majina wakati jamaa jinalake hapa ni Mugongo Mugongo,

ukimuomba radhi itakuwa ni heshima kubwa sana kwa forum ndugu yangu, ninajua kuwa wewe ni veteran wa huu mchezo lakini lugha ni nzito kidogo!


Mzee Es
Kazi uliyoniomba niifanye ni nzito mno ya tani nzima. Sina uwezo wa kuifanya. Ila mimi ni kati ya watu wanaokuheshimu sana katika forum hii...toka bcstimes.
Wewe na bob Mkandara....atakuwa ana-enjoy Bongo saa hizi.

Hapa labda kuna jambo ambalo wengi humu ndani hawanielewi. Na sina uhakika nieleze vipi ili nieleweke. Sina bias kwa chama chochote cha siasa. Sina bias kwa kiongozi yoyote wa siasa. Kama nitaonekana niko skewed towards some one ni kwa sababu my holistic approach towards the good end of my beloved Tanzania coincides with his/her.

Kuhusu mugongo mugongo ni approach yake. Hana post nyingi hapa. Mimi nimepitia zote. Kama kuna yeyote ambaye amefanya kama mimi, atagundua mara moja, the guy has specialised to critiseze Mbowe for whatever he says. And all (or most) of his posts are about Freeman only. Nyie hapo huwa hamuoni kasoro?

Mzee Mwanakijiji
Najua fani yako ni uandishi. Mimi ni dereva tu; sina ufundi sana, wala muda mwingi wa kwenda kipengele kwa kipengele. Na wala sikusudii kuwa mwanasiasa. Huyo mugongo ni shwain au fake. You waste your time answering his fake arguments. He plays with intellectual manoeuvre. Na wewe unaingia mkenge. Sio kila hoja ni ya kujibiwa. Yatakiwa uone na nia ya hoja pia.

Labda nikupe mfano mdogo wa huyu huyu mugongo na Zitto na Mwanasiasa kwenye post nyingine mahali fulani. Zitto aliandika mahala macroeconomics zinakuwa au ziko.....akionyesha kama uwingi. Mugongo akakalia hapo. Akaja Mwanasiasa katika kumtetea Zitto akabadili na kuandika Financial systems.....Mugongo won on that! Lakini kadiri yangu mimi Zitto alikuwa na hoja nzuri kwamba uchumi mkuu unaendeshwa vibaya. Mugongo kwa kukosa hoja akaja kwenye grammar. Mwanasiasa kwa kutoelewa sawa sawa akapotosha hoja na kumpa ushindi mugongo ambaye hakuwa na kitu.....Let us go for substance and above all for the good of our country.....Cheers
 
Invincible.. nimekuelewa... na nimemuelewa Mugongo pia.. now lets keep the ball rolling!
 
Invicible,
I feel you man, I do. I do hope kuwa Mugongo2 atachukua ushauri wa Aljazeera na next time kabla ya kuropoka (provokingly) ajue ni kitu gani anachozungumzia. Wote hapa tunaitakia mema Bongo yetu. Na hakuna aliye na monopoly on the best way to move forward.
 
Matumizi ya Ikulu yanatisha - CUF

2007-04-05 09:47:18
Na Mwandishi Wetu


Chama cha Wananchi (CUF), kimedai kwamba, matumizi ya Ofisi ya Rais yamefikia zaidi ya Sh. bilioni 50, ikiwa ni maradufu ya makadirio ya bajeti yake.

Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba, alitoa madai hayo mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana.

Profesa Lipumba alifafanua kuwa, makadirio ya ofisi hiyo katika kipindi cha robo mwaka wa fedha 2006/2007, ni Sh. bilioni 23.4 lakini hadi sasa Ofisi ya Ikulu tayari imetumia Sh. bilioni 54.

``Ofisi ya Rais, inaongoza katika ukosefu wa nidhamu wa matumizi ya fedha za serikali. Matumizi katika robo ya kwanza ya mwaka huu wa fedha ambayo hujumuisha bajeti ya Ikulu, fedha za kulipia madeni na Usalama wa Taifa, yalikuwa Sh. bilioni 54 zaidi ya mara mbili ya bajeti yake,`` alidai.

Profesa huyo wa uchumi, alidai kwamba, miongoni mwa sababu zinazochangia hali hiyo, ni safari za nchi za nje za mara kwa mara za Rais.

Aidha, alishauri kwamba, hakuna sababu ya kwenda Amerika au Ulaya na badala yake anaweza kukutana na Mabalozi wa nchi hizo na kuwapata wawekezaji.

``Ukitengeneza umeme ukawa wa kutosha na uhakika zaidi, utapata wawekezaji kuliko kwenda ng?ambo mara kwa mara,`` alisema Profesa Lipumba.

Kwa mujibu wa Profesa Lipumba, safari za Rais za mara kwa mara, zimekuwa zikilalamikiwa hata na baadhi ya watu, lakini yeye husema zinatokana na mialiko ya viongozi wa nchi husika.

Alitoa mfano wa Waziri Mkuu, Bw. Tony Blair kwamba alimwalika Uingereza na kwenda kuwashawishi wawekezaji ili nchi isonge mbele kwa kasi mpya.

Hata hivyo, Profesa Lipumba, hakuanisha matumizi ya Ofisi ya Rais katika awamu nyingine za uongozi uliotangulia kwa kipindi cha robo mwaka.

Alikuwa akitoa madai hayo kwa kukariri taarifa za matumizi ya robo ya kwanza ya mwaka huu wa fedha na kueleza kuwa, robo ya pili haijatolewa.

Kuhusu ugonjwa wa Homa ya Bonde la Ufa (RVF), Profesa Lipumba alisema maradhi hayo yanasambaa na kuligharimu taifa fedha nyingi kwa sababu yanashughulikiwa kisiasa zaidi kuliko kitaalamu.

`` Mwaka 2002, Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (WHO), lilitoa maelekezo kwa watalaamu kuandaa mikakati ya kuzuia kuenea RVF.

Walizishauri serikali za maeneo yanayoathirika ikiwemo Tanzania, kuandaa mikakati ya kuzuia maradhi hayo mara yanapozuka,``aliongeza.

Alidai kuwa, ni wazi mkakati haukuandaliwa na Wizara ya Maji na Maendeleo ya Mifugo, kwa wakati ule ikiongozwa na Waziri Mkuu wa sasa, Bw Edward Lowassa.

``Hata mashine za kupima virusi vya mifugo iliyoathirika, zimeingia nchini mwaka huu huku viongozi wakiwachanganya wananchi kwa kutoa kauli za kisiasa,`` alisisitiza.

Kwa mfano, alimkariri Waziri wa Maendeleo ya Mifugo, Bw. Anthony Diallo akiwaeleza wananchi kuwa wasifadhaike kwa kuwa serikali imedhibiti RVF huku ugonjwa huo ukiwa umesambaa na kuua watu wengi hasa mkoani Dodoma.

Profesa Lipumba ambaye alikuwa akichambua hotuba ya Rais aliyoitoa mwisho wa mwezi uliopita, alisema, anashangaa kutolewa chanjo ya RVF kwenye maeneo ambayo ugonjwa umesambaa.

``Cha kushangaza, chanjo inasambazwa kwenye maeneo yenye ugonjwa na kuwachanja wanyama wanaoumwa ambapo ni kuyapa maradhi nguvu mpya, tena unaweza kusababisha yakabadilika na kuwa hatari zaidi,`` alidai Profesa Lipumba.

Aliwashauri wanasiasa wa awamu ya nne, kusikiliza na kutekeleza ushauri wa wataalamu, badala ya kutunga sera kwenye majukwaa.

Kuhusu mikopo ya ujasiriamali, aliilinganisha na fedha za mikopo ya wanawake zilizoitwa ``Mikopo ya Nsekela`` zilizopewa jina hilo kwa heshima ya marehemu Amon Nsekela ambazo hadi sasa alidai kwamba hazijarejeshwa.

Alisema awamu ya nne isipokuwa makini fedha hizo hazitarejeshwa na zitaishia mikononi mwa watu wachache.

Aidha, alihoji utekelezaji wa ahadi ya CCM ya kutoa ajira 200,000 kila mwaka.

``Au mikopo ya ujasiriamali ndiyo sasa mbadala wa ajira?`` Alihoji.
Kwa mujibu wa Profesa Lipumba, hadi sasa hakuna ajira zinazotolewa kwenye viwanda wala kwenye makampuni ingawa Ilani ya CCM iliahidi ajira milioni moja katika awamu ya utawala wake, kati ya 2005 na 2010

KWAKO MH MBOWE,

TUNAOMBA NA WEWE UWE UNAJADILI MAMBO YA MSINGI NA KWA KINA ( STATISTICALLY ) KAMA ALIVYOFANYA PROF HAPO
 
Invincible: I see, lazima nikiri, wewe unamuelewa huyu Mugongo. Nami nimepitia contribution yake baada ya kutustua, nimethibitisha hivyo hivyo, yaani huwa hana mchango mwingine zaidi ya Mbowe. Nimeshangaa sana sana! Sasa swali la kujiuliza: Je, Mugongo anatumia hii forum kutapika hasira alizo nazo dhidi ya Mbowe? Jibu analo mwenyewe. Angalau sasa tumemuelewa! Ushukuriwe ewe Invincible!
 
Kyaruzi,
si lazima wanasiasa wote wawe na aproach moja wanapochambua mambo ya kitaifa. Ndiyo maana tunaposema media kuna magazeti, radio,televisheni n.k na Prof ameamua kuita waandishi wa habari na mbowe kaamua kutumia gazeti.
na kama umesoma vizuri ile makala ni sehemu ya kwanza so its early to judge. Wacha tuone mwisho wa makala. Binafsi jana nimeisoma na sikupata flow vyema but i came to my senses kuwa waraka bado unaendelea. So lets wait and see.
 
KWAKO MH MBOWE,

TUNAOMBA NA WEWE UWE UNAJADILI MAMBO YA MSINGI NA KWA KINA ( STATISTICALLY ) KAMA ALIVYOFANYA PROF HAPO

Kyaruzi,

Siku Bwana Mbowe akifanya hivyo, nahamia CHADEMA! Problem is, hana uwezo huo.

Mwanasiasa, et al,

I find it hilarious kwamba the only way you could come up to defend Mbowe from my arguments is going through the archives to dig up my contributions. That is really low. Actually, I do not make bones about the fact that all my contributions are on CHADEMA and Freeman Mbowe. I like it that way, and, if you have problems with that, I am sorry I can't help you.

And, by the way, you haven't seen nothing yet. You guys need to get used to the idea that there are always different perspective on things...and that one man's masterpiece (i.e an article) may be another's piece of shit.
 
Back
Top Bottom