The Only Thing We Have to Fear is Fear itself

The Only Thing We Have to Fear is Fear itself

I agree! Na hilo ndo tatizo na mara nyingi ukiangalia watakao athirika ni watoto wa wanyonge na wala sio watoto wa wakubwa waliosomea St Mary`s au Mzizima..... Na mara nyingi mtoto wa mnyonge ndo kapitia shida kibao mpaka kufika University. Sasa imagine the ONLY HOPE ya mtu kama huyo unaiua kwa vile hawezi kulipa tuition! Sipati picha ya mtu aliyesomea Sumbawanga au Kigoma shule ya msingi mpaka form six! Anapofaulu kuingia chuo unamwambia kwanza alipe!! Its horrible and immoral!!!!.

Again unafikiri kipi kifanyike? watoto wa wakubwa na watoto wa akina Kalumanzira wa coexist katika unfair system kama TZ?? My point iz tunakoelekea mtoto wa Kulumanzira hana wa kumsemea wala kutetea maslahi yake, sasa je afanye nini? ndo hapo inabidi tutafute njia mbadala za kudai haki....Mimi na wewe tuna mawazo tofauti NOT ON WHAT SHOULD BE DONE, BUT HOW IT SHOULD BE DONE! My last word is....."Sweat and tears both are salty, but they render different results, while the former will give you change, the latter will give you sympath"
 
Mikuki,
tatizo sio kuwepo kwa shule za kulipia ila tazama Chuo chetu kikuu UDSM kuna wanafunzi wanaolipa ada na wale wasiolipa, tena basi wengine hawakustahiri kuwepo hapo kutokana na matokeo yao mabaya kidato cha sita. Ila fedha mjomba imewaunganisha na wale akina yakhe walipiga kitabu kama wendawazimu. Chuo kikuu kimoja kiwe na masharti sawa na usajili. Haya maswala ya kuchanganya biashara na huduma yanaondoa kabisa hadhi ya chuo na matatizo kama haya tuliyanayo hujitokeza kirahisi.
 
Mikuki,
tatizo sio kuwepo kwa shule za kulipia ila tazama Chuo chetu kikuu UDSM kuna wanafunzi wanaolipa ada na wale wasiolipa, tena basi wengine hawakustahiri kuwepo hapo kutokana na matokeo yao mabaya kidato cha sita. Ila fedha mjomba imewaunganisha na wale akina yakhe walipiga kitabu kama wendawazimu. Chuo kikuu kimoja kiwe na masharti sawa na usajili. Haya maswala ya kuchanganya biashara na huduma yanaondoa kabisa hadhi ya chuo na matatizo kama haya tuliyanayo hujitokeza kirahisi.

Sijui mwalimu huwa anawaendeshaje darasa hilo lenye pumba na mchele vile. Akiweka nondo sawasawa, nusu ya darasa linaanguka halafu wanasema mwalimu yule hafai, kafelisha nusu ya darasa kumbe ni ile nusu ianyotokana na pumba!
 
..mbowe uko wapi,rudi hapa ujibu maswali ya nini umefanya tangu ushindwe uchaguzi.
 
Hongera sana Mwenyekiti kwa kuingia ndani ya jukwaa letu,

Mi nafikiri umeweka hoja nzur ya kuwata watumiaji wa forum hii kuweka majina yao ya kweli, kwa mfano mi binafsi hilo ni jina langu, ila tu Mwenyekiti sipendi kukosoa ila nataka kuweka sawa hii ni fursa ya kutoa changamoto kwa wanajamii wote kutambua tutumie vipi uhuru tulionao wa vyombo habari na mwengi katika kuleta maendeleo ya taifa ila sio kuanza tena ooh aah wekeni majina hapa yajadiliwe mambo na changamoto zitoke,watu wapate maarifa.

Al afu swali kwako mwenyekiti hivi nyinyi mpo serious na maendeleo ya nchi hii?
 
Mwanasiasa & Jasusi I will come back baada ya kama saamoja hivi niwajibu kwa undani

lakini kukuweka sawa bwana jasusi ni kuwa hapa hazizungumwi nani mbaya au mzuri lakini tunazungumzia the whole concept of International Relations na nafasi gani bwana mbowe ambaye anaweka akawa rais wa nchi yetu sasa hiii inamaana hata private life yake itakuwa open kwenye public domain maana ndio inakuja na package nzima ya siasa hiyo

Nilifikiria niianzishie separate thread lakini i will keep this option open

ttl

Nakubaliana na wewe kabisa, tunategemea kabisa kuwa Mh. Mbowe atakuwa ni mchangiaji mzuri sana kwenye JF na tunategemea kabisa kuna watu wengi sana kama yeye watajitokeza kwa majina yao. lakini hapa kwenye JF kuna watu aina nyingi sana walioko serikalini, private sector na walioko nje ya nchi. kwa swala la kuweka majina yao halisi kutaleta comflict kati ya mawazo yao ndani ya JF na nafasi zao wanazozifanyia kazi. Ila namkaribisha bwana Mbowe kwenye The Home of Great thinkers.
 
Mkuu Mbowe Freeman Aikaeli Heshima mbele kwanza rekebisha hii ni JAMII FORUM siyo JAMBO tena.Halafu njoo na hoja za kujenga jamii yetu na wala si CHADEMA.
Karibu tumekuona,tumekupokea na tumekupata bega kwa bega tutalinasua Taifa letu kwenda kaburini.Welcome sana.
 
Mkuu Mbowe Freeman Aikaeli Heshima mbele kwanza rekebisha hii ni JAMII FORUM siyo JAMBO tena.Halafu njoo na hoja za kujenga jamii yetu na wala si CHADEMA.
Karibu tumekuona,tumekupokea na tumekupata bega kwa bega tutalinasua Taifa letu kwenda kaburini.Welcome sana.

Mbowe yuko humu tangu inaitwa JAMBOFORUMS kaka, nadhani yeyendiye anapaswa kukukaribisha
 
Hongera sana Mwenyekiti kwa kuingia ndani ya jukwaa letu,

Mi nafikiri umeweka hoja nzur ya kuwata watumiaji wa forum hii kuweka majina yao ya kweli, kwa mfano mi binafsi hilo ni jina langu, ila tu Mwenyekiti sipendi kukosoa ila nataka kuweka sawa hii ni fursa ya kutoa changamoto kwa wanajamii wote kutambua tutumie vipi uhuru tulionao wa vyombo habari na mwengi katika kuleta maendeleo ya taifa ila sio kuanza tena ooh aah wekeni majina hapa yajadiliwe mambo na changamoto zitoke,watu wapate maarifa.

Al afu swali kwako mwenyekiti hivi nyinyi mpo serious na maendeleo ya nchi hii? unaweza kunijibu swala hili kwa upana kupitia e-mail yangu mchopsmosdef@yahoo.com

Nani wa kumkaribisha mwenzie, Mbarouk au Mbowe?
 
Mh. Mbowe njoo utujulishe Elimu yako HULL imefikia wapi? au ....
 
thanks for accepting my registration but i was not aware of the good meaning of using uncorrect names thats good and safe, jamii forum is excellent in educating the society socially and spiritualy thats great congraturations
 
safi sana, wakati anajiunga mie nilikuwa najua mtandao unaitwa darchart tu, halafu enzi hizo unaweza ukatuma msg za buzz kutoka kwenye internet kwenda kwenye simu, nakukubali mwenyekiti, be blessed.
 
Maamuzi ni katika uwezo uliokuwa nao,lengo linatimia endapo kuna mapenzi ya dhati nania ya kweli kutoka ndani kabisa ya nafsi ya Mwanadam.Mbowe pamoja na chadema nina amini kabisa mnania njema kwa Tz.Nakubaliana na hoja yako nani ya msingi sana kwaku nmeitafakari,maana yake ni kubwa sana ila''people have right to defend themself''.Ni kweli % kubwa ya waJf wanauchungu na rasimali za hii nchi ila ulipo sipo walipo wao.Tumeshudi wengi wenye kudai haki wakihishia pabaya.Je we uko teyari kuwakinga wale wote walio teyari kuweka majina yao halisi.
 
Nakubaliana na hili jambo,ni hatari kulea woga,wakati nakuja humu nilikuja na jina langu halisi,wengi humu wanaogopa mazingira na pia wanajiogopa,hii ni hatari kubwa!
 
Duh Mheshimiwa kapiga post mbili tangu mwaka 2006 inawezekana yuko busy sana au tumueleweje.Watani wa post moja kila baada ya miaka mitatu ahaaa aaa.
 
Back
Top Bottom